kwa hili ITV wamenishangaza

kwa hili ITV wamenishangaza

Mimi sijafurahia kabisa clauds wanavyotumika na ccm.umeona taharifa ya habari Leo wanamzungumzia lowasa mabaya kabisa
 
nimekaa hapa na juice yangu nasubiri marudio a mzigo wote ,ITV SUPER BRAND number one. wataonesha hata jumamosi mchana wesengeonesha ccm walizima umeme mikoani
 
Lowassa anaijua CCM nje ndani, CCM inamjua Lowassa nje ndani, huu ni uchaguzi wa watu Wanaoujuana sana wanaojua na wameshiriki sana mbinu za wizi wa Kura. Kazi ipo Wezi wanajipanga Vipi kuibiana
 
Ndiyo ilikukuwa habari ya usoni ila walikuja kuisoma baadae ili waendelee kuvuta utazamaji
 
tukiacha ushabiki wa kisiasa,leo habari kubwa ni waziri mkuu mstaafu bwana Edward Lowassa kuhamia CHADEMA,lakini ITV hawajaipa uzito habari hiyo.sote tunafahamu historia ya siasa hapa nchini,hivyo kitendo cha mtu aliyewahi kushika cheo kizito nchi hii kama Lowassa kuhamia upinzani siyo jambo la kutoipa coverage ya kutosha,sijui ndo kubalance habari huku!

Habari ilichelewa kuwafikia Kamanda, pia walikuwa na kazi ya kuunganisha vipande kadhaa kama ulivyoona!! Mimi nawapongeza ITV kwa uzito mkubwa walioipa habari ya Ujio wa Lowassa ndani ya cdm.
 
tukiacha ushabiki wa kisiasa,leo habari kubwa ni waziri mkuu mstaafu bwana Edward Lowassa kuhamia CHADEMA,lakini ITV hawajaipa uzito habari hiyo.sote tunafahamu historia ya siasa hapa nchini,hivyo kitendo cha mtu aliyewahi kushika cheo kizito nchi hii kama Lowassa kuhamia upinzani siyo jambo la kutoipa coverage ya kutosha,sijui ndo kubalance habari huku!

kwa kweli hamna jambo jema aliloumbiwa mwanadamu kama uungwana,niwaombe radhi ITV,coverage ya habari ilikuwa ya kutosha tu
kiukweli kilichonishangaza zaidi ni kawaida ya ITV kufanya habari kubwa ya siku husika kuwa ya kwanza kabisa katika mlolongo wao wa habari,rejea matukio makubwa ya nyuma.eg wagombea wa CCM kutangaza nia,kutangazwa bwana Magufuli kuwa mgombea wa Urais CCM,na mengine mengi
sasa leo nimeangalia habari ya kwanza hadi ya nne nikaona hii habari hawajaipa uzito kwa kutoiweka habari ya kwanza kubwa kwa siku kinyume cha kawaida yao,siyo mtaalamu wa tasnia ya habari,pengine mlio na ujuzi zaidi mnisaidie.hata kwenye gazeti,habari nzito hukaa front page,je runingani ni tofauti?
 
Labda hawakuwepo kwenye tukio.
Wamefuata "scale of preference" yao.
 
Ndugu ITV hiihii ya Mengi au ile ya UK??
 
Kweli imeandikwa katika maandiko wataona na kusikia lakini hawataele wa, hivi kuna tv station iliyorusha habari hii kwa muda mrefu kuliko itv bro acha chuki na itv kama walikunyima kazi usiwalaumu laumu elimu yako labda haitoshi kuajiliwa hapo
 
Huyo anazani habari kupewa kipaumbele ni kutangazwa ya kwanza ajui kupewa kipaumbele ni kupewa muda mwngi
 
Back
Top Bottom