Ifute kabisa isiwepo kwenye cm. Maana binafsi sioni sababu ya kusave namba ambayo unayo kichwani zaidi ya kujaza phone book tu. Na akikuuliza tena why hujasave namba yake mwambie najua kwa kichwa.
Tatizo siku hizi wadada wengi mnatega mimba makusudi ili kushinikiza kuolewa bila kufanya uchanganuzi kama huyo uliyenaye kwenye mahusiano anakupenda kweli au la na mwisho wa siku haya huwa ndo matunda yake. Yawapasa kujua kuwa sio kila mahusiano lazima yaishie kwenye ndo mengine hupita kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.