Recent content by manndungu

  1. manndungu

    Mgahawa maarufu hapo Tabora maarufu kwa 'chotara" wahudumu awajali wateja

    Sasa kwanini ununue nje wakati ndani vipo? Huwenda ikawa kosa ni wewe kununua vitafunwa nje then ukazamanavyo ndani
  2. manndungu

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mwendelezo please
  3. manndungu

    Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

    Mzee baba vipi wewe ndio unatakiwa kujiongeza hadi namba ya simu imeachwa hapo kwenye bandiko
  4. manndungu

    Mpaka leo bado sijafanikisha kupata Mwanamke mwajiriwa..

    Huwenda ikawa anawatafutia bar
  5. manndungu

    Simulizi: Mimi na Mimi

    Nikweli kabisa, ukimwambia jamaa hataki kuelewa, maelezo ni mengi sanaaaaa
  6. manndungu

    TANZIA Zuchi Zuchero, mpiga picha na Mwandishi wa Habari afariki kwa ajali

    Kwani Nijuavyo mimi pikipiki inanunuliwa ikiwa na hivyo vioo, sasa nitoe 10000 ya kununua vioo vya nini tena!?
  7. manndungu

    Simulizi: Mimi na Mimi

    Hahahaha, nikatembea weeee mara nikachoka
  8. manndungu

    Simulizi: Mimi na Mimi

    Hujaelewa tatizo, sasa mambo ya nikatoka hapa nikatembea polepole mara nikajikwaa sijui nikapita uchochoroni mara nikanywa bia nikainyanyua chupa hivi na vile, acha kuzunguka mbuyu nenda kwenye point, unapoteza maudhui ya simulizi yako
  9. manndungu

    Mamba waonekana Bwawa la Chemka

    Changarawe, hata gari ndogo inaenda, hata bajaji huwa zinaenda kabisa
  10. manndungu

    Filamu: Mwili wa mwanamke aliyekufa kwa sumu, umepotea Mochwari

    Naomba hiyo link ya WhatsApp mkuu Namba hiyo link ya WhatsApp mkuu
Back
Top Bottom