Recent content by manking

  1. manking

    Tahadhari Ya Mvua Kubwa yatolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA

    Hii si ya kupuuza jamani huenda ikatokea kweli, tuchukue hath.
  2. manking

    Morogoro: Viwavi jeshi vyateketeza heka 20 za mashamba ya mahindi Mvomero

    Jamani hili tatizo ni kubwa sana msaada was haraka unahitajika ikiwemo wataalumu watuambie ni dawa gani itakayofaa. Mimi pia ni muhanga was hili.
  3. manking

    Morogoro: Viwavi jeshi vyateketeza heka 20 za mashamba ya mahindi Mvomero

    Jamani hili tatizo ni kubwa sana msaada was haraka unahitajika ikiwemo wataalumu watuambie ni dawa gani itakayofaa. Mimi pia ni muhanga was hili.
  4. manking

    Karibu kwa upimaji wa udongo wa bei nafuu kwa kilimo bora

    Sample inatakiwa ichukiliwe kina gani cha ardhi
  5. manking

    SHAHIDI: Chusa alipanga mauaji ya Bilionea Msuya

    Kama wamepatikana na hatia sheria ifuate mkondo wake.
  6. manking

    Maalim Seif: Dalili zinaonyesha Magufuli ni Dikteta

    Watakao kuelewa hapa ni wachache tu maana salio wengi nivipofu wa fikra japo wana macho. Dr. Slaa atkumbukwa milele underline my words.
  7. manking

    Magufuli piga kazi mkuu, wengi walikutabiri

    Ukweli ni kwamba" HAKUNA UPINZANI TZ, WAZALENDO NI WACHACHE TZ, SIASA NA ULAGHAI KWA WANANCHI NDIYO NGAO YA VYAMA KWA SASA. Hamuwezi kuishi kwa kuviziana fulani kafanya nini,ushauri wangu viongozi wote bila kujali vyama watumikieni wananchi msitafute umaarufu acheni umaarufu uwatafute.
  8. manking

    Kazi imeisha: Ugandan experts explain choice of Tanzania for pipeline route

    Yes indeed job opportunities as well.
  9. manking

    Waongeza wowowo wote, angalizo

    hatareeeeee!!!!!!
  10. manking

    Visa vya CCM vyaanza kuonekana Dar es Salaam

    Mlitaka muachiwe ili muibe imekula kwenu mtasubiri sana
Back
Top Bottom