Recent content by manjumkuu

  1. M

    Wanaomnanga jkikwete............mazishi ya madiba, kidedea!

    Rais wetu ametuwakilisha vizuri sana. Ile speech ilikuwa re conciliatory kama Madiba alivyokuwa. Unajua kule South kuna issue ya ku sideline waafrika wahamiaji. Ni issue kubwa kwa wanaoenda kutafuta maisha kule. Vijana wengi wenyeji wanawaona immigrants kama tishio katika fursa za ajira. Hivyo...
  2. M

    Mama Maria Nyerere kashangiliwa sana alivyotambulishwa kwenye msiba wa mandela

    Anastahili heshima kutokana na kazi ya Mwalimu Nyerere. Nyerere na Mandela ni kielelezo cha viongozi wa Umma (wanasiasa) wanavyotakiwa wawe. Total commitment . sio ubinafsi!!!!
  3. M

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Bwana Baraka umepost mchango mzuri sana. Hii ndio mijadala itakayotuokoa wtz. Nitafanyia kazi ushauri wako na nitatudi hapa JF kutoa ushuhuda. Big up
  4. M

    PROF.SOSPETER MUHONGO AWAKOSHA WATANZANiA W

    Hongera Prof Muhongo. Hiyo Ndiyo kazi ya serikali. Straight forward UKWELI!!
  5. M

    Yaliyojiri: Mdahalo 'Rasilimali zetu na maendeleo ya Taifa na nafasi ya mtanzania katika umiliki'

    Kweli watanzania hatupendi facts. Tunalewa mahaba.Niliona mdahalo ule. Muhongo katoa facts za kutosha. Mzalendo wa kweli atayaelewa maneno yale. Kuropoka tu kwa sababu ya ushabiki hakujengi nchi.
Back
Top Bottom