wewe jamaa yawezekana hauko sawa ,sababu zipi unazowachukulia watu huko ni low IQ,sijui unatoka mkoa gani nikupe data za wasomi na mkoa wako unakotoka, labda shida moja hawajiproudy kama wamikoa mengine,mlianza wanakula samaki mchanga,mara wanakula watu ,sasa hivi mmekalia low IQ,wapo...