Ha ha haaaa! Wavulana wa dar bwana, kwa hiyo kwa vile hawajui makange ndo washamba? Af muache kuvaa vitishet vilaini kama shumizi ma vikaptula vya pink
We ndezi iringa lami tumeanza kuiona tangu miaka ya 70, au ulienda kilolo nini? Baridi unayoikandia hapa mkiwa dar mnaipata kwa hela. Acha kuropoka uongo we kivulana ulieajiriwa dar baada ya kumaliza chuo na kukaa kichumba kimoja ubungo maziwa
Kwa hiyo iringa imeshinda tuzo ya usafi kwa huo usiku mmoja tu we zwazwa? Huyo kasesera wanairinga wengi huwa tunamuona kwny magazet na mitandaoni lakin msigwa ndo president
Nan atoe michango kwa hao wachumia tumbo wa clouds? Itv kila siku wanaonesha watu wenye matatizo mbona huyo rais wako mtukufu hajawah kuchangia? Rais wako mtukufu anapenda airtime
Mtoa mada umeandika uzi mzuri, lakin inakuaje unasahau shule pekee duniani ambayo ukiwa ufukweni mwa bahari ya hindi unakua bado upo eneo la shule? Shule walosoma wabishi kama Joshua Nassari, Bagamoyo secondary kwa hakika inatakiwa ikae juu ya list yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.