swali la kujiuliza hapa je kama hizi kasoro wanazosema zilikuwa ingekuwa ccm ndo wameshinda uchaguzi ungefutwa? nafikiri hamna haja ya kudanganya watu kapange mstari wapigwe jua wakati umeshaandaa mshindi wao so ni bora wakawa wawanzi kuwa nchi ni ya mfumo wa chama kimoja kuliko kudanganya watu.
katika vitu ambayo serikali hii imefanya vya ajabu ni pamoja na hili, kodi zetu ila hata hatushirilishi kwenye maamunzi,nafikiri inabidi wafikiri upya!
yaani utafiti huu mwenye akili mgando ndo atakubaliana nao yaani uchaguzi huu mtu ashinde wenzake kwa asilimia 40% yaani mwenu tu ndo ataamini kama doctor slaa alipata 21% tena kipindi ambacho vijana hakujiandisha wengi na hakukuwa na muamko sana leo useme ccm itashinda kwa 65% mbele ya mnyama...
kama mnataka mdahalo kwanza tuanze na mdahalo jk na wenye viti wengine kwa ahadi zake kwanza ndo tuingie hawa wa sasa hv, tunataka aje atuambie kwa kiasi gani ametekeza ahadi zake maana naona zile ahadi zote zimeachwa zimekuja mpya kama hataki na cc mgombea yuko busy kusaka kura na wananchi...
Leo rais wetu anaenda kuwatoa watu kwenye mashimo yao walijichimbia miaka mingi yaani magamba leo huko ni pressure tu, jamani hospitali za dom leo zitajaa coz ya pressure za magamba! Viva ukawa viva lowassa
Maji shingoni hawa watu kwani kama wamefanya mengi kama wanavyosema wawe wapole watapata kura ila kama ni maigizo tuliyoyazoea basi wakapumzike kwa amani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.