Kaka mimi mdogo wangu walimtapeli 20.45m aliagiza mavitu za harware dsm alipo nielezea kwakuwa alikuwa janja nikaenda mwenyewe kufungua kesi polisi
Ninachokumbuka yule mpelelezi wangu aliniambia jamaa anapatikana nik0mwambia yeah pia ana grup la biashara yake anapost bidhaa daily kwaiyo akawa...
K
Km 25 kutokea usa river means unaongelea karangai au wapi nakama nikarangai uko ndo mashamba hayashikiki kwa sababu watu wanalima throughout the year kwaajil kuna mto mitaa ile
au wewe unaongelea kijiji gani mili enyewe nina laki yatu yangu apa nikadake uwanja
Sisi kwetu ni arusha uku ndani ndani kabisa umeme umefika juzi lakini amna ata ekar ya milion tano kwanzia 10m kuendelea
na wadozi wanazichukua wanachimba visima wanalima migomba, maembe, wanafuga nguruwe, kuku, ngombe wa maziwa n.k
Ukitaka ekar za milion nenda morogoro wilaya ya kilosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.