Recent content by Manigga Qwame

  1. Manigga Qwame

    Ushauri: Nina wazo la kukopa pesa benki nichukue bajaj

    Sure but trust me bajaji ya million sita ni uwakika braza so zote zinauzwa zikiwa zinasumbua, apo nimejiongelea Mimi
  2. Manigga Qwame

    Ushauri: Nina wazo la kukopa pesa benki nichukue bajaj

    Mimi naona kama ungeweza kupata used safi ata kwa million 5 au sita, itakuwa rahisi kurudisha kwa muda mfupi kiasi ulichowekeza lakini mpya utatumia muda mwingi sana road kurudisha pesa uliyowekeza bajaji za milioni Tano au sita kupatana app ni nzuri safi na clean em jaribu kuzicheki mzee mwenzangu
  3. Manigga Qwame

    Nifanyeje? Upweke unatafuna moyo wangu vibaya mno

    No fap umefika siku ya ngapi mkuu
  4. Manigga Qwame

    Nimekata tamaa sana nakufikia kuona kifo ndio suluhisho

    Usijiue mkuu jipe muda kaka inshallah mambo yatakuwa safi
  5. Manigga Qwame

    Nauza kiwanja Luguluni milion 500

    Kiacheache mkuu mwakani uuze billion moja
  6. Manigga Qwame

    Ahmed Ally amtetea Chasambi baada ya kujifunga bao lililoigharimu timu yake

    Sema bora dogo chasambi kuliko mutale, kibu angekuwa ndani asinge Fanya ule upuuzi
  7. Manigga Qwame

    Ahmed Ally amtetea Chasambi baada ya kujifunga bao lililoigharimu timu yake

    Yule dogo usikute ni yanga, au alibeti both team to score
  8. Manigga Qwame

    Wanamuziki waliopanga kugombea ubunge 2025

    Isimani iringa au AY kwani wa iringa boi
  9. Manigga Qwame

    Ibrahim Traore ni Gaddafi mpya wa Afrika?

    Ukiwa real lazima usemwe kwa mazuri acheni chuki
  10. Manigga Qwame

    Nimejipa adhabu ya kukaa siku 1,000 bila kushiriki ngono kwa njia yeyote ile

    Tizi ni muimu sana kwenye izo siku buku braza yaani hasira zote amishia kwenye tizi Kila siku masaa 2 kama we ni mtu wa ball nenda ground daily isopokuwa tu weekend na siku ukipata injuries 🤒,
  11. Manigga Qwame

    Ni utapeli au napoteza bahati?

    Uyo unaechati nae FB sio mzungu shekhe ni mtego iv kwann mnawaamini wazungu sana
Back
Top Bottom