Kutoka New Force mpaka Golden Deer...kuna nini hapa ndani yake?
Au ndio Yale ya wawekezaji kubadili majina ya Biashara zao kila Baada ya miaka 5?
tafadhali naitaji kujuzwa zaidi.
Kweli kabisa mkuu, ndio maana wakija kwenye anga zangu nawafumua tu, tena nikiona kijungu kama hicho naanda kilainishi changu mapema tu ili katikati ya Game nizibue Chemba za maji taka.....Kudadadeki.
Mapenzi hayana formula ,Sio ukariri daily kwenye Bed tu.
Sipendagi daily mwanamke nimuanze kumchokoza hata kama ana genye ila mpaka nimuanze....Inakera sana hii tabia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.