Ninaomba kwa anayejua hivi ni kwanini ugonjwa wa mafua huwa unawashambulia sana kuku hawa, na ni kwanini ukitumia dawa unaisha kwa muda na unarudi tena.
Nahitaji msaada wafugaji wenzangu na wataalamu wa ufugaji huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.