Kuanzisha kampuni sio jambo la kitoto ni kazi inayohitaji investment kubwa na ya kutosha.
Nadhani Diamond Platnumz peke yake hawezi anzisha kampuni ya kubet bila backup. So ninani yupo nyuma ya Wasafi Bet? Nani aliyewekeza kwa kupitia mgongo wa Diamond.
Nataka nianze biashara ya nguo lakini mambo haya siyajui sana. Ulipaji kodi unakuaje. Legal process ni zipi?
Mzigo mzuri mnauchukua kwa staili gani etc
The truth is morogoro ni more close to dodoma but they lied to you for a reason. Kutaka kuonesha morogoro na dar ni majirani zaidi. Nilifanya simple research ya kufind distance kwa kutumia speedometer ya gari na nikagundua distance ya dar morogoro ni kubwa zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.