Nashangaa watu mnaulizia mkeka wakati watu wameshapigiwa simu na toka Jana wameanza kuripoti chuoni KIWIRA MBEYA. wengi wamechukuliwa kutoka makambi ya jkt
Hivi ni akili kwelii mgogo anayefundisha shule ya msingi samanga pale jimboni vunjo akubali kurudi shule ya msingi ugogoni iliyopo pale jimboni kongwa ???? Inaingia akilini kweli??
Au madam ngiliule wa shule ya sekondari mailisita akubali kurudi kwao jimboni kibakwe akafundishe shule ya...
Napingana na wewe kwa data. Mfano uhitaji wa walimu shule za msi ngi kwa wilaya ya mpwapwa ni wastani wa walimu 2200 ilihali walimu waliopo ni 1300 hv kwa hiyo kuna upungufu wa walimu 900
Shule za awali zinauhitaji wa wastani wa walimu 240 hv lakini Cha kuchekesha wilaya nzima haina mwalimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.