Dah leo ndio nimemaliza kusoma huu uzi mpaka hapa. Nimepata maswali fikirishi mengi sana.
1. Mshahara wa dhambi ni mauti je usipofanya dhambi haufi?
2. Je kuna watu ambao wapo peponi mda huu?
3. Siku ya kiama itakuaje? coz mwili tulionao sasa utakua ushaharibika so tutapewa mwili mpya then...
Maandiko yalishasema tuishi nao kwa akili Maana yake ni kwamba wao wanaakili kuzidi wanaume . Na hakuna kiumbe hatari kilichowahi kuumbwa duniani kama Mwanamke. Do not ever try to trust women, never ever pls n pls.
Hii ni ahadi kubwa sana umeitoa na ngumu sana kuitekeleza kwa akili za kawaida coz mshahara huwa hautoshi na kabla hujaupata huwa ushaisha. Mungu akusaidie kuitimiza hii ahadi na kwa hakika utaongezewa mara dufu
Wanasema rentation fee inachajiwa kwa kiasi ambacho hakijalipwa kwa mwaka. So kwa mfano wewe mwaka 2015 uliwekewa deni la 10 Mil kwenye salary slip yako, na hilo deni utalilipa kwa miaka 6 tuseme so kile kiasi ambacho kinakua kinabaki kila mwaka kinachajiwa 6% tena hivyo baada ya miaka 6 deni la...
Nakushauri usiache pombe aisee. Utaanza kurudi nyumbani mapema na kuanza kufanya umbea na wife. Pombe ni uhai lakini isikupelekeshe tu. Kama unaweza punguza tu lkn USIACHE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.