Recent content by Manguruteri

  1. Manguruteri

    Tanzania dreamliner na Taifa stars..

    Yaan toka siku zote hawakujua kuwa uwanja ni mdogo na utapata usumbufu kwa wachezaji na kupunguza performance..Ni muda wa watu kuwa wakweli .. crystal clear..au kuna sababu nyingne humu wakuu
  2. Manguruteri

    Hackers wafanya yao website ya UDSM

    Na wasiwasi na hilo neno ASEE a clue for the unsub
  3. Manguruteri

    Serikali bado haijathibitisha, lakini EATV inawatia hofu wakazi wa Dar. Wanasema Dar itazama baada ya miaka 50

    Hao wataalam are they pure in mind ? How much freedom do they have kuongelea tafiti wanazofanya ? Japo kuna tafiti serikali inazizua kwa manufaa ya wananchi kuondoa hofu na mgawanyiko wakati wakitafuta best solution but wanafanya kwa wakati ?
  4. Manguruteri

    Serikali bado haijathibitisha, lakini EATV inawatia hofu wakazi wa Dar. Wanasema Dar itazama baada ya miaka 50

    Hii issue watu wanaichukulia kisiasa ndio maana mapovu mengi .. serikali nayo haitoi matamko sahihi kwa wakat sahihi pindi kunapotokea issue yoyote matokeo yake zinakuja tafsiri za kisiasa ..Mwisho wa haya yote ni kuwa na wasomi wakutosha with pure mind(not corrupted one) nchini kwa kila field .
  5. Manguruteri

    New member

    Vigezo ni muhimu mkuu..sio kwel
  6. Manguruteri

    SINGAPORE: Serikali yaondoa mfumo wa madaraja(Division) katika mitihani, yasema elimu sio mashindano

    Bado hatutoweza mipango kama huo inahitaji maandalizi kuanzia walimu mpaka wazazi na pia wanafunzi wenyewe. Ninavyoongelea corrupt system nalenga moja kwa moja assessment ya mwalimu kwa mwanafunzi ambao hautaleta tofaut either na mzazi mwanafunzi au elimu ngazi inayofuata
  7. Manguruteri

    SINGAPORE: Serikali yaondoa mfumo wa madaraja(Division) katika mitihani, yasema elimu sio mashindano

    Tatizo kwa elimu yetu ni ule mtihani mmoja kutoa tathmini ya mwanafunzi hapa nazungumzia mitihani ya taifa. Mfumo wa elimu wanaoutaka wao ni ule ambao haupimi uelew wa wanafunzi kwa mitihani ambao unapelekea watoto kukariri kitu ambayo kinahitajika hata hapa kwetu.Lakini kwa level yetu hatupaswi...
  8. Manguruteri

    SINGAPORE: Serikali yaondoa mfumo wa madaraja(Division) katika mitihani, yasema elimu sio mashindano

    Ni system nzuri lakin inahitaji non corrupt system kutoka ngazi ya chini kabisa hadi kufika chuo kikuu kwa uadilifu wa viongozi wa shule zetu bado hautafanikiwa huu mfumo
  9. Manguruteri

    New member

    Hahhh kwa vigezo gan mkuu
  10. Manguruteri

    New member

    Ahsante Mkuu ila hizo alam duhh
  11. Manguruteri

    New member

    Anacheka 🤔
  12. Manguruteri

    New member

    Nambeba 😂
  13. Manguruteri

    New member

    Thanks🙏
Back
Top Bottom