Hivi ukisikia mwanao wa kiume wa darasa la tatu ana lawitiwa na kijana wa darasa la sita kila siku huko vichakani tena anapewa onyo kali asiseme popote, je ukisikia huyu kijana wa darasa la sita anae walawiti watoto wa la tatu kushuka chini amefukuzwa shule utaumia?
Kamuone dokta edwini yupo Muhimbili na ana kliniki yake regency hospital nadhani siku ya Jumatano mimi nilikuwa na tatizo kama lako akanitibu vizuri kabisa
Wale watoto wa mwanzo (alfajiri) wanaopitiwa na gari mapema kigiza kikiwepo huwa ni victim wa madereva na wale wadogo wanateswa na wale wakubwa. Wazazi waangalie hilo.
Kuna member humu alisema aliwaona wanafunzi kwenye school bus wakinyonyana ndimi siti ya nyuma kabisa. Kaa chini na mwanao...
Ndugu yangu alianza hivyo hivyo akishtuka ana bleed,miaka ikakatika na hali hiyo hiyo,baadae akagundulika ana colon cancer,baadae imechanganya na cervical cancer ni ana bleed non stop yupo katika maumivu makali japo anapatiwa matibabu.....mwambie akaangalie saratani ya shingi ya kizazi pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.