Recent content by Mangi shop

  1. M

    Waziri Nape Nnauye awasimamisha kazi vigogo wa TBC kutokana na utendaji usioridhisha

    Nape ni sheeeda Magofuli ana kazi hilo ni jipu pia
  2. M

    Sakata uuzwaji Coco Beach lageuka, Kubenea aonesha mikataba

    Utavunjaje mkataba uliosainiwa na mwingine?unajua gharama za kuuvunja au unasema turn?kasome huo mkataba ujue yaliyomo ndiyo uweze kutoa ushauri.
  3. M

    Mteule Umeya wa Jiji la Dar es salaam ni Diwani wa Vijimbweni

    Keshachaguliwa na madiwani au ni uchaguzi wa kuwakilisha chama
  4. M

    CCM kwa nini kanda ya kaskazini mmepotwza majimbo mengi?

    Pole sana unaonekana we ni mkabila,jadili mada acha kuongelea ukabila huo ni ufinyu wa mawazo
  5. M

    CCM kwa nini kanda ya kaskazini mmepotwza majimbo mengi?

    Pia mkumbuke mabadiliko yalianzia huko na mbunge wa kwanza kutoka upinzani mwaka 1995 alitokea Hai Kilimanjaro,kwa kweli kaskazini wanajielewa huwezi fananisha na Dodoma wako kwenye nyumba za nyasi lakini bado wanaikumbatia chichiemu
  6. M

    Kwanini baadhi ya wanawake hupendelea kufanya mapenzi gizani?

    Ukiona hivyo ujue chimbo limechimbika
  7. M

    Hivi kumbe mwanaume ni kiumbe dhaifu namna hii?

    Huyo ndiye miss chagga napita tu
  8. M

    Wamiliki wa shule binafsi kutofungua shule zao

    Mkuu kama huna hela za kuwafundisha watoto shule hizo bora unyamaze,hata wakizifungia usidhani kuna mtu atampeleka mtoto wake shule za Kata,tutawapeleka watoto wetu Kenya au Uganda kama ilivyokuwa mwanzoni kabla ya kuanzishwa hizi shule.huyo katibu akabidhiwe hizo shule aziendeshe kwa mwaka...
  9. M

    Magufuli, Kufufua uchumi weka mipango ya kuirudisha TIPER Refinery!

    C kwa Ccm kila kitu kwao sawa,kwani aliyeviuwa ni nani mpaka aje avifufue?wameviuwa wao,hamtudanganyi hit kdg subirini tarehe 25 nimeshakinoa kichinjio changu
  10. M

    Natafuta mume wa kunioa

    Nicheki
  11. M

    Viwanja vinauzwa Kongowe - Kibaha

    Kuna kaufisadi mie napita tu
Back
Top Bottom