Kwanza Sheria gani ya kuingia kwenye biashara ya mtu eti unasaka wanaojiuza,ina maana wakinikuta nimetoka na mpnz wangu na amevaa kimini wanambeba kisa kigezo ni kuvaa nguo fupi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.