Recent content by mangaya jr

  1. mangaya jr

    JamiiForums Tanzania Polisi kuua mlinzi wa bar Dar: Je, Chalamila anakwepaje kuwajibika?

    Kwanza Sheria gani ya kuingia kwenye biashara ya mtu eti unasaka wanaojiuza,ina maana wakinikuta nimetoka na mpnz wangu na amevaa kimini wanambeba kisa kigezo ni kuvaa nguo fupi?
  2. mangaya jr

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Rais Samia tafadhali chunguza BRELA kwani ni kikwazo kwa wafanyabiashara, bila hongo hufungui kampuni

    Unamkamatisha mmoja mmoja tu vitendea kazi tunavyo simu ni ushahidi tosha ni kuwarekodi na kuwaanika mtandaoni wakuu wao wa kazi waone upuuzi wao
  3. mangaya jr

    JamiiForums Tanzania TCRA yatoa onyo kali kwa makampuni na watu binafsi wanaosambaza visimbuzi vya CANAL PLUS

    Asante TCRA kwa taarifa ninakihitaji asee
  4. mangaya jr

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali: Ofisi za ustawi wa jamii zimegeuka kuwa chama cha kusaidia Wanawake

    Mkuu atupe mrejesho kama aliwasiliana na Mama Gwajima na alipata muongozo gani kutoka kwake Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
  5. mangaya jr

    JamiiForums Tanzania Habari

    mgeni wapi
  6. mangaya jr

    JamiiForums Tanzania Je hii ni kweli au ni Uzushi tu kuwa TATU MZUKA wametoroka Tanzania kwani kuna Mtu anataka Kujitoa Uhai wake

    Si mumuulize Mussa mtangazaji wao Sent using Jamii Forums mobile app
  7. mangaya jr

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Moja ya mada zenye wadau lukuki
  8. mangaya jr

    JamiiForums Tanzania Njoo na Id yenye miaka 6+na likes sio chini ya 50k

    Duh kumbe wallet ya humu kutuna kwake ni likes na kuwa muhenga
  9. mangaya jr

    JamiiForums Tanzania Kwa waliowahi kula mabeki tatu tukutane hapa!

    Asee kweli yajayo yanafurahisha
  10. mangaya jr

    JamiiForums Tanzania Mahasimu wa Komba kisiasa ni nani mpaka kumchafua?

    Mchepuko umemponza
  11. mangaya jr

    JamiiForums Tanzania tanseco wanini tena M-POWER(off grid) ndo suluisho lako la umeme

    Ufafanuzi kwa kina tafadhali
  12. mangaya jr

    JamiiForums Tanzania `Wanaume wengi danguro Zakhem waathirika HIV`amebainisha mmachangudoa mwadhirika Ukimwi

    Huo ukumbi hapo jirani umeleta maafa makubwa sana kwa familia nyingi
  13. mangaya jr

    JamiiForums Tanzania Tapeli maarufu Dar akamatwa na polisi

    Asee itakuwa kawaliza wengi sana
Back
Top Bottom