Tetty ndg yangu mimi si fundi wa kutukana sbb cjapewa malezi ya kunifanya kutukana iwe part and parcel ya maisha yangu ila nakerwa sana na watu wanao leta analysis za uongo,na Mimi kalenga cjaijulia kwenye keyboard kama unavyodai bali naijui vilivyo ndo maana cwezi kutoa analysis ya mfano jimbo...
Sasa what's wrong with that..? We ulitaka wawe na soko kubwa kama la Kariakoo? au kama la Iringa mjini? au kama la majengo Dodoma? Jamani wananchi tukumbuke jimbo la kalenga linapatikana katika Wilaya ya Iringa vijijini (pamoja na jimbo la isimani) kama mnavyojua vijijini hali sio nzuri sana lkn...
Msigwa lazima ang'oke sbb he's not capable after all msigwa alichaguliwa kama njia ya kuikomesha CCM sbb walimleta mama mbega alieshindwa kwenye kura za maoni na mwakalebela alieshinda wakamtoa.Hii situation iliwakera kweli wana Iringa na wakasema "swela" na mhehe akisema swela...! Basi umekwisha
Hii picha haijapigwa kalenga wala sehemu yyt ya nyanda za juu kusini na hasa mikoa ya iringa na Mbeya kwa sbb zifuatazo...
1.nyumba type hii sio nyumba za asili za wenyeji wa kalenga na Iringa kwa ujumla.
2.physical appearance za watoto inaonesha ni wa jamii ya wafugaji...
NB: kadanganye...
Acha uongo wewe,umewahi kufika kalenga wewe pimbi au unaropoka? Toka Iringa mjini kwenda kalenga kwa uelekeo wa ruaha national park umbali wa 130km kuna vijiji kama kalenga yenyewe,nzii,kidamali mpaka idodi.kote huko umeme ni wa kumwaga tena umeme ni wa gridi ya taifa. Haya nenda jimbo la...
Kwahiyo na wewe unaipenda cdm sbb unashibia huko? Kingine wana bavicha mnacho chemka ni "jazba" yaani mnapandwa na jazba bila ya sbb za mcngi,Kumbuka ukiwa na jazba utajikuta unaropoka maneno ya ovyo na kujikuta unapoteza umakini na watu makini wanakupuuza. Hampo makini katika kujieleza sbb ya...
Ebu tuambie na uwe muwazi je ingekuwa ndo mfano mwigulu nchemba ndo alikuwa anajirusha Jana club laparte pale gangilonga na mwana cdm ndo karipoti hili tukio unge comment vp? Nasubiri jibu
Mkuu hakuna mijitu ya ajabu kama miafrica na hasa mitanzania,mipovu itawatoka kisa tu hawapo katika system. Mbona utakuwa baba ni seremala na mtoto nae anakuwa seremala vivyo hivyo kwa fani tofauti tofauti na hakuna kelele lkn ngoja sasa mtoto wa mwanasiasa nae awe mwanasiasa watu mapovu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.