Recent content by maneka

  1. maneka

    Kanisa katoliki linakuzwa sana, Sioni wanachofanya zaidi ya kupiga kelele, Wenye nguvu wanafanya watakalo bila breki

    Nikweli kabisa, walipinga DP Word, Wakataka TAL aachiwe haraka, wakalaani mambo lukuki wamepuuzwa na maisha yanaendelea!
  2. maneka

    Tulipokosea pakubwa kama Taifa ni pale tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma

    Mwenye kisu kikali ndiye anayekula nyama!
  3. maneka

    Nimeipenda ahadi ya CCM kwamba itateua Vijana wengi kugombea Ubunge na Udiwani!

    Unamaanisha huyu babu arudi ujanani!?
  4. maneka

    Sijaona waziri anaeshirikiana na jamii kwa moyo wa kujitolea bila makamera kumzidi Dkt Dorothy Gwajima, Her Responsibility exceeds her power

    Hata yeye anarcho pia anawategemezi. Ni waziri mwenye mipaka, angefanyanini?
  5. maneka

    Ndugu hakopeshwi anawezeshwa

    Hata rafiki wa karibu sana nawe au mfanya kazi mwenzio au bosi wako huwa ni changamoto kubwa sana, kama hujachukua tahadhari.
  6. maneka

    Natabiri yaliyomkuta Nape yatamkuta Slow Slow achukue tafadhali wauni sio watu.

    Kama ni kwa maslahi mapana ya Nchi ni vema akaachwa atoe ya moronic!
  7. maneka

    Dudu baya aka konky master

    Mwamba ni ex seminarian nampata sana. Sishangai kama anayo madini juu mada mbalimbali.
  8. maneka

    Uzinduzi wa kanisa la Mwamposa na maswali ya kujiuliza

    Ndugu soma uelewe mwandishi anamaanisha nini, achana na mihemuko!
  9. maneka

    Mwanajeshi Mstaafu wa Marekani adai Nchi za Afrika zirudishwe kwenye Utawala wa Kikoloni kwa kushindwa kujisimamia zenyewe

    Let them come! Itakuwa bora na nafuu kwa mlala hoi kuliko mkoloni mweusi asiye jali maslahi ya wenzake.
  10. maneka

    Nawezaje kuishi kama atheist?

    Sadaka ya kujimaliza inasumbua akili sana.
  11. maneka

    "Wakati watu wanalia kuhusu kikokotoo nilikuwa naona kawaida, sasa nimeona ukali wake" Mtumishi aliyeambulia 10M baada ya kustaafu miaka 33 Magereza

    Nyumbu huishia kushuhudia kwa macho bila kusema wala kufanya juhudi za kuokoa mwenzao anapoliwa na Simba.
  12. maneka

    KERO Wahusika wa Sekta ya Elimu muwahurumie watu wa hali ya chini kwa hii michango...

    Ualimu Tanzania ni laana, kataa ualimu, kataa laana. Walimu wamapuuzwa.
  13. maneka

    Kwanini Mh Rais hakutokea kwenye sherehe za siku ya wafanyakazi (Mei Mosi)

    Watoto wamekataliwa na Taifa/Mamlaka kwa kutoboresha maslahi ya mwalimu. Waache liwe Taifa la watu mbumbumbu.
Back
Top Bottom