Recent content by MandingoJR

  1. MandingoJR

    JamiiForums Tanzania Msongamano mkubwa wa Malori ya Mizigo Dar-Chalinze kwa sasa ni matokeo ya Ubia (PPP) Bandari ya Dar es salaam-David Kafulila

    hahahaa....bila shaka kutakua na msongamano wa mapato ya serikali pia.
  2. MandingoJR

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa kumkosoa IGP kuhusu vikundi vya Mwaipopo wampeleka Polisi mwalimu Laulent Joseph (Mnegro)

    aisee...pongezi kwa waliompambania so far.
  3. MandingoJR

    JamiiForums Tanzania Kiburi na Kaburi

    mimi ni baba ako Gil.
  4. MandingoJR

    JamiiForums Tanzania Kiburi na Kaburi

    Russia ipi hiyo unayoizungumzia?
  5. MandingoJR

    JamiiForums Tanzania Kiburi na Kaburi

    Amarula... russia...au sio?
  6. MandingoJR

    JamiiForums Tanzania Msidanganywe na misimamo inayochezwa mahakamani na jopo la majaji chini ya Ndunguru. Lissu yupo hatarini kuliko mnavyodhani

    wewe ndo ungekua na hayo mamlaka..ungemnyonga lissu.?
  7. MandingoJR

    JamiiForums Tanzania Tusichukulie Kirahisi, Rais Samia anaweza kufika Mahakamani kuwa prove wrong. Hivyo Lissu ajiandae kisawasawa

    wanaodai kwamba walitaka kupinduliwa wanakuja kwenye kesi kama mashaidi katika kumtetea mshitakiwa...very interesting case.
  8. MandingoJR

    JamiiForums Tanzania HOJA Sera Mpya ya 'Cashless' itafeli, sababu ni hizi

    sio kwamba hawajui wanajua...issue ni kwamba wakitoa hizo tozo fuko la serikali litashuka watalambaje asali na wakati hawana mbadala mwingine wa kutunisha fuko...zingatia..na sio kwamba hakuna namna nyingine zakutunisha fuko, ila ndo ni miradi ya makumazani wa nchi hii.
  9. MandingoJR

    JamiiForums Tanzania Kitengo Cha habari Cha Yanga kimepwaya,kwa miaka mitano kimeshindwa kuteka kizazi kipya Cha mashabiki hatimae wanachama

    bwa mdogo inaonekana umeanza kushabikia simba wakati hadji manara ni msemaji wa simba na ndiye alikhvutia huko.
Back
Top Bottom