utajiri unaotokana na mwanasiasa anayejishughulisha na biashara unaonekana na unajulikana mbona... Utajiri wa wanasiasa wetu hapa bongo ni kazi sana kuutetea wanapohusishwa na ufisadi.
wanasiasa hawa wanatoka kwenye jamii hizihizi hivyo wanafahamika kwa maana familia zao na maisha yao yanafahamika na jamii hivyo kunapotokea madiliko makubwa ya ghafla yani kwenda kwenye huo utajiri unaosema kwa mishahara hii ya kwenye siasa hapa kwetu...hapo ndo pakuanzia.
Kwenye miji mikubwa kama Dar es Salaam,Mbeya,Arusha,Mwanza kulipaswa kuwepo na ongezeko kubwa sana la Vyuo vya kati na vyuo vya ujuzi lakini ongezeko ni la machinga wa mitumba,bidhaa hafifu za chini,wachoma mahindi,wauza machunga badala ya vijana hao kuwepo kwenye site,viwanda,mikoani wakitumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.