sio kwamba hawajui wanajua...issue ni kwamba wakitoa hizo tozo fuko la serikali litashuka watalambaje asali na wakati hawana mbadala mwingine wa kutunisha fuko...zingatia..na sio kwamba hakuna namna nyingine zakutunisha fuko, ila ndo ni miradi ya makumazani wa nchi hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.