Recent content by Mandingo_judo

  1. Mandingo_judo

    Nathubutu kusema, utaratibu mwendokasi wameweka ni wa ovyo ovyooo ovyooo sijahi ona.

    Leo interval ya kupata tiket na kuondoka ni lisaa lizima. Magari yakifika kituoni (gerezani) yanashusha abiria na kuondoka bila abiria. Huko ni kutuzoea kama hawawezi serve demand warudishe daladala zetu za nauli 400/ yaani sa zima kama una deal zako mpaka deal inaingia mchanga ndo unatoka kituoni
  2. Mandingo_judo

    Nikilala na huyu mwanamke usiku naota ndoto za kutisha

    Jaribu kulala nae mchana tuone nn kitatokea Sent from my iPhone using JamiiForums
  3. Mandingo_judo

    Msaada wa App ambayo unaweza kupata channel za Tanzania kwenye simu bure, star times App excluded

    Please wa JF nimekomaa toka juzi naitafuta sijaipata ila nakua hapa kuna wajanja zaidi yangu watafanya maajabu tuu Sent from my iPhone using JamiiForums
  4. Mandingo_judo

    Andika umri wako na jambo usiloweza kulifanya

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kulingana na umri wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  5. Mandingo_judo

    Andika umri wako na jambo usiloweza kulifanya

    5years🤭🤭🤭 siwezi kupita hapa bila kusoma coment hata kama sina bandle ntasoma za previous day[emoji848][emoji848]🤭[emoji848][emoji848]
  6. Mandingo_judo

    Tigo mnafeli wapi!?

    Kwel baba ni ccm!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  7. Mandingo_judo

    Kwanini wake za watu ni watamu zaidi?

    Boss naona unatubip tuliooa!!!!![emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
  8. Mandingo_judo

    Sakata la ving'amuzi kurusha local channels bure.

    Nauliza tuu zile channel Zetu bado zipo tusije tukawa tunaua viwanda vya ndan!! Inawezekana mashine za kurushia matangazo na camera havifanani na kiwanda,[emoji23][emoji23][emoji23] mi mwenyw sijui kama nauliza au nashangaa
  9. Mandingo_judo

    AIBU; Aumbuka baada ya kukosea kutuma picha yake ya utupu WhatsApp group.

    Tuma na huku tu prove!!! Isije ikawa ta kusadikika
  10. Mandingo_judo

    Wanaume mnaofunga PM na Details zenu, mko sawasawa kweli?

    Haya nayo yamo!!!!!!🤭🤭🤭🤭
Back
Top Bottom