Leo interval ya kupata tiket na kuondoka ni lisaa lizima. Magari yakifika kituoni (gerezani) yanashusha abiria na kuondoka bila abiria. Huko ni kutuzoea kama hawawezi serve demand warudishe daladala zetu za nauli 400/ yaani sa zima kama una deal zako mpaka deal inaingia mchanga ndo unatoka kituoni
Please wa JF nimekomaa toka juzi naitafuta sijaipata ila nakua hapa kuna wajanja zaidi yangu watafanya maajabu tuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nauliza tuu zile channel Zetu bado zipo tusije tukawa tunaua viwanda vya ndan!! Inawezekana mashine za kurushia matangazo na camera havifanani na kiwanda,[emoji23][emoji23][emoji23] mi mwenyw sijui kama nauliza au nashangaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.