Nadhani anachokifanya sasa SATIVA ustaarabu sana!. Matusi pekee hayatoshi!. Ningekuwa mimi nimetendewa na polisi aliyotendewa SATiVA, wallah ningeunda VIKUNDI vya Uasi kama BOKO HARAM au Al shaabab kupigana na serikali. Nchi isingetawalika
Kakobe alishawahi kusema unafiki ufuatao!
(1) Mwaka 2000 alisema Lyatonga Mrema ndie chaguo la "mungu" na ndie rais ajae WA Tanzania. [Ukweli ulionekana na Mrema alishindwa vibaya mno na mkapa]
(2) Aliiambia serikali ikiwa nyaya za umeme zikipita juu ya kanisa lake basi hazipitisha umeme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.