Juzi mwenyekiti wa chadema Taifa freeman Mbowe alisema kwamba wabunge wamejiongezea mshahara kutoka M13 hadi M18 pasipo kuweka ushahidi wowote ule,Taarifa hiyo ilikanushwa na Bunge kwamba sio kweli kwamba wabunge wamejiongezea mishahara na taarifa hiyo ipuuzwe.
Aliyetoa taarifa ya kukanusha...
Uchaguzi mdogo wa Udiwani kata ya Malya Wilaya ya kwimba Jimbo la Sumve ,CCM Wanahaha kupata mgombea baada ya Jana chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumpitisha mgombea wake.
Chama cha mapinduzi kilitangulia kupata mgombea wake siku tatu zilizopita,lakini baada ya Jana chama cha...
Gari La Mbunge wa Kwimba kupitia chama cha mapinduzi mh. Mansour limepigwa mawe na kutolewa vioo likiwa linagawa majembe kwa wananchi wa Lunele Jimbo la Kwimba.
Wananchi walifikia hatua hiyo baada ya kukerwa na hiyo tabia ya kuwagawia majembe,kwani walitofasiri kuwa ni Rushwa...
Halmashauri ya Wilaya ya kwimba ni Wilaya kongwe kati ya Wilaya za Mkoa wa Mwanza,lakini cha kushangaza ni Wilaya ya Mwisho kimaendeleo kati ya Wilaya zilizo Mkoa wa Mwanza.
Tatizo kubwa lililopo ni aina ya wakuu wa Idara waliopo Kwimba kushilikiana na uongozi wa juu wa Wilaya.
Pamoja na kila...
Kwanza poleni na shughuri za kila siku za ujenzi wa Taifa letu.
Ujumbe wangu ni mfupi tu.
Fanyeni mapitio kwa posho za Madiwani za kila mwezi kwani hali kwao ni mbaya sana,wao ndio wanakaa na Wananchi kila siku tofauti na Wabunge ambao wengine anaweza akamaliza hata miaka mitatu hajakanyaga...
Baraza La Madiwani La Halmashauri ya wilaya ya kwimba Jana liliwasimamisha baadhi ya watumishi wa Halmashauri hiyo.
Waliosimamishwa ni:
1:Patrick Ndaba-Afisa manunuzi na ugavi (W)
2:Eng.Makongoro Igungu-Kaimu Mhandisi wa ujenzi na Zimamoto (W)
3.Nyabugumba Jonathan-Afisa usafi na Mazingira...
Hivi karibuni Mh Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania JPM alisema kwamba wale wote wanaopata mishahara mkubwa watatelemshwa ili kuwapandisha wanaopata mishahala midogo.
Kwa maamuzi yake hayo tunategeme wale wote wanaopata mishahara midogo watapandishiwa wakiwemo waheshimiwa Madiwani ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.