Recent content by Manasse

  1. Manasse

    JamiiForums Tanzania MADA: Fahamu zaidi kuhusu mbinu za kilimo cha tikitimaji, faida na changamoto zake

    Tatzo letu kubwa sana watu wa mjini tunafanya vitu kwa mkumbo. Mara vitunguu, mara product (sabuni) mara tikiti, mara matango, nyanyachungu etc. Wapo watu maisha yao wanayaendesha kwa tikiti na huwez kuwaambia kitu. Yapo mambo mengi ikiwemo uzoefu ktk kilimo cha japo zao moja. Sasa wengi wetu...
  2. Manasse

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Tutanunua Korosho kwa Tsh.3,300/=, JWTZ ihakikishe kila ghala linalindwa na Wakulima wanalipwa haraka bila usumbufu

    Ndio maana EWURA hawapangi bei ya nishati, nimegindua mkuu
  3. Manasse

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Tutanunua Korosho kwa Tsh.3,300/=, JWTZ ihakikishe kila ghala linalindwa na Wakulima wanalipwa haraka bila usumbufu

    Ntakuelewa Ujinga utaniisha tu wakulima wakipata elfu3 kwa kilo, wala hilo halina shida.
  4. Manasse

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Tutanunua Korosho kwa Tsh.3,300/=, JWTZ ihakikishe kila ghala linalindwa na Wakulima wanalipwa haraka bila usumbufu

    JPM kakata vichwa vya wengi ambao walidhano serikali hii ya mchezo mchezo hahaha
  5. Manasse

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Tutanunua Korosho kwa Tsh.3,300/=, JWTZ ihakikishe kila ghala linalindwa na Wakulima wanalipwa haraka bila usumbufu

    Sisi tunaona kwa angle ambayo tumesimama, na serikali nayo inaona kwa angle yake. Unataka kunambia, bora wakulima wangenunuzwa kwa 1000?
  6. Manasse

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Tutanunua Korosho kwa Tsh.3,300/=, JWTZ ihakikishe kila ghala linalindwa na Wakulima wanalipwa haraka bila usumbufu

    1. Tangu awali walikataa sasa wanakubali, wew hujiulizi kwanin hivi?. 2. Jeshi linatumikamkusafirisha korosho, sasa ulitaka serikali ikodi magari na jeshi la wananchi lipo linaweza kufanya hyo kazi?. Wafanyabiashara wana mbinu nyingi sana, walikuwa wanapima maji, hili liwe fundosho next days...
  7. Manasse

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Tutanunua Korosho kwa Tsh.3,300/=, JWTZ ihakikishe kila ghala linalindwa na Wakulima wanalipwa haraka bila usumbufu

    Uzoefu wa kuongeza hyo 800 unayoizungumzia umetoka wap sasa?. Haya mambo hufanyika kwa utafiti, wakulima washaanza kufurahi huko kusini, si tunabwabwanya tu hapa.
  8. Manasse

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Tutanunua Korosho kwa Tsh.3,300/=, JWTZ ihakikishe kila ghala linalindwa na Wakulima wanalipwa haraka bila usumbufu

    Kwa mtazamo wako unaona ni vyema wafanyabiashara kuwabana wakulima kwa kigezo cha joja yako kwmb rais anatumia ubabe kuingilia wafanyabiashara?. Je wew ungekuwa mkulima wa korosho, ungeona sawa kabisa kuuza korosho yako kwa Tsh1,000 badala ya bei elekezi Tsh 3000. Je ulitaka serikali itumie...
  9. Manasse

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Tutanunua Korosho kwa Tsh.3,300/=, JWTZ ihakikishe kila ghala linalindwa na Wakulima wanalipwa haraka bila usumbufu

    WAPINZANI WA JPM. Naona watu weng wanapinga huu uongoz na wengi wao ni wasomi lakn wasio wazalendo. Hili silishangai coz hata majira ya JK waliongea mengi huku wakimsifia JPM pindi waziri wa ujenz na uvuvi, lakn licha ya kumwita JK dhaifu pia waliona wafanyakaz wanabebwa coz hakukuwa na...
  10. Manasse

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Tutanunua Korosho kwa Tsh.3,300/=, JWTZ ihakikishe kila ghala linalindwa na Wakulima wanalipwa haraka bila usumbufu

    Wengi wataokuja kujibu hii hoja watakuja na maneno mawili au matatu maana hawana hoja bali chombezo.
  11. Manasse

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

    Hata kama Mbatia hajafuata kwa maana ya kubadili chama lakn tunaona. 1. Ubunge wake kateuliwa na Rais. 2. Cheche alizonazo pindi ile ni tofaut na sasa. Kwa kifupi ametoka kifikra lakn kimwili anatambulika bado yupo kwny chama chake.
  12. Manasse

    JamiiForums Tanzania Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    Wengi hatujui hili na ndio maana tunafanya kazi ktk misingi ya uwoga sana hata haki zetu hatuzijui.
  13. Manasse

    JamiiForums Tanzania Unayosababu (reasoning) - kipimo cha IQ yako

    Siwez kupoteza pesa yangu kwa pombe, lakn we ndo muhongaji madem mkubwa
  14. Manasse

    JamiiForums Tanzania Unayosababu (reasoning) - kipimo cha IQ yako

    Nyuzi kama hizo huwa hazisomwi na zikisoma hazchangiwi. Inamaana kubwa sana hii kitu nimejifunza hapa
  15. Manasse

    JamiiForums Tanzania Kakobe amekanusha taarifa ya TRA kuhusu kanisa la (FGBF) kukwepa kulipa kodi na kumuomba msamaha rais Magufuli

    JPM kagusa maslahi ya wezi wengi sana. Enzi za JK hatukuona kabisa viongozi wa dini kushindana na serikali, na kama ilikuwepo basi ni kidogo sana. Kimsingi tumebanwa kuiba na ndo mana tunaishia kelele tu coz njia zishabanwa mno. Sasa Kakobe huyu alikuwa yeye na Full Gasp eti leo anapiga...
Back
Top Bottom