Recent content by Manago

  1. M

    Rais Kikwete, Mwinyi, Mkapa na Mbowe, Lowasa wahudhuria mazishi ya Askofu Amedeus Msarikie

    Lema si alisema mwisho wa JK kuja Arusha ilikuwa D21 2012? Imekuwaje leo
  2. M

    Tanzia: Askofu Thomas Laizer wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini afariki dunia

    Pumzika kwa amani baba Askofu Thomas Laizer ulilichunga kanisa ulilokabidhiwa na Bwana kwa uaminifu. Na baba wa mbinguni akupe pumziko la milele. Amina
  3. M

    Lema asitisha wanafunzi kuendelea kusoma Korona Sec

    Wewe Masabo unasifia ujinga angalia na wewe usijeukaangukia kwa watu wasiochambua mambo.Lema ni sehemu ya baraza la madiwani wa jiji, shule j.amilikiwa na jiji wanatakiwa kuiboresha hiyo shule ni jiji ambapo Lema naye ni sehemu yao. Huyo diwani yupo kila siku wanaingia kwenye baraza hakuona hilo...
  4. M

    Lema asitisha wanafunzi kuendelea kusoma Korona Sec

    Aisee kazi kweli kweli Lema ni mbunge ambaye pia anaingia kwenye baraza la madiwani wa jiji pamoja na huyo diwani wake, alishapeleka hoja ya kuboreshwa kwa shule hiyo au anatumia hilo boga alilowekewa na huyu daktari bingwa wa Tz?
  5. M

    CHADEMA Ianzishe mabadiliko ya Ndani, Vinginevyo kuiondoa CCM 2015 ni ndoto - Sehemu ya 1

    Humuhitaji Tendwa akufikishe kwenye ngazi ya msingi ya chama. Unachohitaji ni mfumo ndani ya chama ambayo ipo ila haifanyiwi kazi na hapa ndipo wazo la kupeleka rasilimari fedha katika ngazi ya mikoa, wilaya, kata na vijiji. Kuimarisha chama huko ndiyo maana ya mwanakijiji alivyoshauri na...
  6. M

    CHADEMA Ianzishe mabadiliko ya Ndani, Vinginevyo kuiondoa CCM 2015 ni ndoto - Sehemu ya 1

    Kama hukusoma wote na ukarukia kuchangia utumbo wako huu usiyo na kichwa wala miguu. Hatukulaumu sana kwani hata mikataba mibovu iliyoopo ilipatikana hivi hivi kwa uvivu wa kusoma. Dont judge a book by its cover, judge by its contents
  7. M

    CHADEMA Ianzishe mabadiliko ya Ndani, Vinginevyo kuiondoa CCM 2015 ni ndoto - Sehemu ya 1

    Ushauri mzuri sana hasa unapoongelea piramid na siku zote wakati ukiamini katika mfumo huu unahitaji maamuzi mengi yaanzie chini kuja juu na siyo juu kuja chini. Hii inanikumbusha hata kwenye sakata la madiwani wa Arusha Dr. Slaa kama katibu mkuu wa chama ndiye akiyekuwa akiratibu na kuongoza...
  8. M

    Lema asitisha wanafunzi kuendelea kusoma Korona Sec

    Unapokuwa na boga huwezi acha kusikia haya. Hata wewe mleta uzi upo sawa na Lema ametoa wapi mamlaka ya kusitisha masomo ya wanafunzi wakati hiyo siyo mamlaka yaje?
  9. M

    Dr Slaa ajibu tuhuma dhidi yake

    Ndugu yangu hapa maswali ni mengi sana kuliko majibu, ila hawa ndugu zetu wengine wanajaribu kusimplify hii issue na kuona kama ni jambo dogo sana, ila integrity ya mtu hupimwa kwa mambo mengi sana. Wengine wanaona Mil 20 kamakidogo ukilinganisha na mabilion ya EPA, Meremeta na hata za Uswiss...
  10. M

    Dr Slaa ajibu tuhuma dhidi yake

    Sasa mbona hakusema alikopeshwa kwa riba ya asilimia ngapi?
  11. M

    Dr Slaa ajibu tuhuma dhidi yake

    Hoja hapa siyo kukopa hoja kubwa ni kwamba mbona habari hii ilipotolewa miezi saba iliyopita Dr. Slaa hakuja kutoa ufafanuzi huu anaoutoa leo kwani hii si habari mpya
  12. M

    Dr Slaa ajibu tuhuma dhidi yake

    Kama mtu anayelipwa sh. 7m anashindwa kukopesheka na taasisi za fedha vipi sisi walala hoi tunakesha barabarani na kutembea kwenye jua bila kipato cha uhakika tutapona?
  13. M

    Dr Slaa ajibu tuhuma dhidi yake

    Hapa ndipo huwa nawashangaa sana hawa ndugu zangu wanaoamua kuchukua nafasi ya kutetea uhalifu eti tu kwa sababu ya mtu mwingine kuufanya. Swali langu la msingi ni hili kuna sababu gani sasa ya kubadilisha uongozi kama hawa tuliowaamini nao wako hivyo hivyo kama waliopo sasa au tunataka...
  14. M

    Zitto: Serikali ya Kikwete imekosa uhalali wa kutawala!

    Mbona watakusakama sana walitaka haya mawazo yawe ya watu wanaowaunga mkono na kuwashabikia kila kukicha. Hongera mbunge wangu kwa article nzuri kila aina ya weledi na uzalendo.
Back
Top Bottom