Pumzika kwa amani baba Askofu Thomas Laizer ulilichunga kanisa ulilokabidhiwa na Bwana kwa uaminifu. Na baba wa mbinguni akupe pumziko la milele. Amina
Wewe Masabo unasifia ujinga angalia na wewe usijeukaangukia kwa watu wasiochambua mambo.Lema ni sehemu ya baraza la madiwani wa jiji, shule j.amilikiwa na jiji wanatakiwa kuiboresha hiyo shule ni jiji ambapo Lema naye ni sehemu yao. Huyo diwani yupo kila siku wanaingia kwenye baraza hakuona hilo...
Aisee kazi kweli kweli Lema ni mbunge ambaye pia anaingia kwenye baraza la madiwani wa jiji pamoja na huyo diwani wake, alishapeleka hoja ya kuboreshwa kwa shule hiyo au anatumia hilo boga alilowekewa na huyu daktari bingwa wa Tz?
Humuhitaji Tendwa akufikishe kwenye ngazi ya msingi ya chama. Unachohitaji ni mfumo ndani ya chama ambayo ipo ila haifanyiwi kazi na hapa ndipo wazo la kupeleka rasilimari fedha katika ngazi ya mikoa, wilaya, kata na vijiji.
Kuimarisha chama huko ndiyo maana ya mwanakijiji alivyoshauri na...
Kama hukusoma wote na ukarukia kuchangia utumbo wako huu usiyo na kichwa wala miguu. Hatukulaumu sana kwani hata mikataba mibovu iliyoopo ilipatikana hivi hivi kwa uvivu wa kusoma. Dont judge a book by its cover, judge by its contents
Ushauri mzuri sana hasa unapoongelea piramid na siku zote wakati ukiamini katika mfumo huu unahitaji maamuzi mengi yaanzie chini kuja juu na siyo juu kuja chini. Hii inanikumbusha hata kwenye sakata la madiwani wa Arusha Dr. Slaa kama katibu mkuu wa chama ndiye akiyekuwa akiratibu na kuongoza...
Unapokuwa na boga huwezi acha kusikia haya. Hata wewe mleta uzi upo sawa na Lema ametoa wapi mamlaka ya kusitisha masomo ya wanafunzi wakati hiyo siyo mamlaka yaje?
Ndugu yangu hapa maswali ni mengi sana kuliko majibu, ila hawa ndugu zetu wengine wanajaribu kusimplify hii issue na kuona kama ni jambo dogo sana, ila integrity ya mtu hupimwa kwa mambo mengi sana. Wengine wanaona Mil 20 kamakidogo ukilinganisha na mabilion ya EPA, Meremeta na hata za Uswiss...
Hoja hapa siyo kukopa hoja kubwa ni kwamba mbona habari hii ilipotolewa miezi saba iliyopita Dr. Slaa hakuja kutoa ufafanuzi huu anaoutoa leo kwani hii si habari mpya
Kama mtu anayelipwa sh. 7m anashindwa kukopesheka na taasisi za fedha vipi sisi walala hoi tunakesha barabarani na kutembea kwenye jua bila kipato cha uhakika tutapona?
Hapa ndipo huwa nawashangaa sana hawa ndugu zangu wanaoamua kuchukua nafasi ya kutetea uhalifu eti tu kwa sababu ya mtu mwingine kuufanya. Swali langu la msingi ni hili kuna sababu gani sasa ya kubadilisha uongozi kama hawa tuliowaamini nao wako hivyo hivyo kama waliopo sasa au tunataka...
Mbona watakusakama sana walitaka haya mawazo yawe ya watu wanaowaunga mkono na kuwashabikia kila kukicha. Hongera mbunge wangu kwa article nzuri kila aina ya weledi na uzalendo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.