Ni kwa sababu binadam alipewa ukubwa hapa duniani yani yeye ndo mwenye kuimiliki dunia na uyo shetani kosa alolifanya Ni kukataa kumsujudia binadam na hao maasimu wawili ambaye Ni mungu na shetani walikubaliana ya kwamba yoyote atakae mfuata shetani basi na yeye atapata adhabu sawa na uyo...
Duu dunia ina magonjwa mengine ya hatari na kustaajabisha Sana sio utani mtaani kwetu kulikuwa na jamaa Fulani ivi nae alikuwa na ugonjwa wa kutopata choo na jamaa alikufa we fikiria unakula miezi 2 na haunyi noma xanaa
Daah nakumbuka mbali sana!! zamani chiga niliiona Atari Sana na wanaovuta pia niliwaona watu wa ajabu Ila ndo Ivo same time stress zinatufanya tufanye tusivyotegemea kabisa kufanya.
Nakumbuka sigara ya Kwanza kutumia ilikuwa embassy click ila sasa ivi nimekuwa gari Moshi nawasha Kila ubalozi na...
Hivi mnaonaje kuhusu huyu mwamba Young Lunya kusainiwa Sony music Africa kunaweza kuwa na faida kwake au ndo amepoteza maana kwa kumbukumbu za haraka haraka ni kwamba wasanii wengi wa Tanzania walio sainiwa na label hiyo wengi wamepotea mfano
Baraka da prince,
Vanessa Mdee,
Ommy Dimopzi...
Sasa Kuna faida gani ya kufanya hiyo royal tour ikiwa ata aeleweki anaitaji Nini, Leo nimefadhaika Sana nilipoiona taarifa kutoka bbs Swahili ikisema wanyama Sasa ni ruksa kuuzwa na kusafiliswa nchi za kigeni,Sasa kwa akili yako unategemea Nini hao watalii anaowaita watakuja kuona Nini baada ya...
Mimi ni chizi muziki napenda kila aina ya muziki najua mziki mzuri na mbaya.
Tukianza na ushabiki mimi ni timu Diamond
Yani Simba namkubali kindaki ndaki ata akifanyaga upuuzi huwa naona sawa tu. Ila niwe mkweli tuu leo nimesikiliza album ya Harmonize aisee huyu jamaa ni noma katika nyimbo 17...
Kiuhalisia kabisa hiyo si nchi kabisa kama inavyotajwa. Ni kama nchi ya kufikirika ata uki gugo map sasa ivi ukaweka ramani yote ya dunia. Unaweza kuona kila sehemu kila nchi na mipaka yake ila uwezi kuiona Vatican kama nchi sana sana utaambulia kuiona Vatican city katikati mwa nchi ya Italy...
.Tukiacha ushabiki maandazi, kwangu mimi sizani kama mawazo yako yatakuwa sahihi.
Ninachojaribu kusema ni kuwa hao unaowajalibu kuwafananisha ni watu wawili tofauti.
Sawa wote ni mabondia wazuri lakini wamepishana pakubwa. Sijawai kufuatilia sana Michezo ya ngumi ila ninachokifahamu mimi Huyo...
Inashangangaza ila inabidi nikuvumilie kwa sababu kwenye mijadala lazima wawepo watu kama nyie, kazi yetu apa nikuelimishana tuu
Haimaanishi kila atakaye ujumu uchumi basi stahiki yake ni bakora la hasha, nimesemea kwa kosa walilolifanya hao wafanya biashara kuchara bakora ni sawa kabisa
sababu...
Kwangu mimi naona sawa kabisa hao wanaojiita wafanya biashara kucharazwa viboko.
Tanzania haiitaji wafanya biashara wa style hii, anamfundisha mwanafunzi jinsi ya kuaribu Mali za umma.
hii ni sawa na kuujumu uchumi kwa maana serikali inakuja kuingia galama.
Kuna mfano: juzi baada ya kuja kwa...
Kama kweli kenya ilimwaga damu na kujitapa kuwa mlipata Uhuru kwa kupigana mbona kuna mkanganyiko??
maana mimi naona hao (watanzania) mnaowaita ni lele mama walipata Uhuru kwa kupewa iweje wawe na kauli za kishujaa kwa hao waliowapa Uhuru bure, kuliko nyie ambao mnajiita mashujaa mlio mwaga damu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.