Hivi mnasahau kuwa kumsema sana mtu ni kumpa umaarufu? km ndivyo, sasa hamuoni kuwa mnampa huyo Lowasa umaarufu kwa kumtaja taja sn kila jua linapochomoza na kila linapokuchwa?
Unakoseaga lkn kosa la leo limezidi kipimo. Labda utuchambulie km umemtusi Lowasa kama kuwa ni mpumbavu km yeye binafsi, au umemtusi "mpumbavu" km mmasai. Na km umemtusi km yy, ss ni kwanini uunganishe upumbavu wake na umasai wake?
Mleta mada, ina maana wewe hukumbuki kuwa rais wetu alikuwaga Waziri wa mambo ya nje? Kwahiyo bado hajayasahau yaliyokuwa majukumu yake aliyokuwa akiyatekeleza.
Kwa hakika mleta mada umesomeka. ume-hit point. kwa yeyote ambae hakukuelewa, basi atakuwa haelewi hata akieleweshwa. Yatosha tu kusema, ambae bado hajafahamu ulichoandika, asubiri muda umueleweshe.
Naskitika sn kuwa nili-comment kwenye hii thread lkn hoja zangu sizioni. kwahiyo nimeonelea acha mm niwe msomaji tu, hasa nikizingatia kuwa siyo comment yangu ya kwanza kutowekwa.
Watuhumiwa hao kusafishwa ni sawa. Lkn mbona wengine waliowajibika kwa kujiuzulu kama aliekuwa Waziri mkuu Edward Lowasa nao hawakusafishwa wala kuundiwa tume ya kuchunguza tuhuma zao? Lkn pia, mbona hao watuhumiwa wa escrow wamesafishwa haraka kuliko hao wa tokomeza ujangili kulikoni? Km...
Kiukweli kwa sasa lema hana tena ule mvuto wa awali. na hata km atashinda uchaguzi, siyo kwa kiwango alichoshindia 2010, na zipo sababu nyingi tu, zikiwemo ahadi za uongo alizowahi kuwaahidi wanaarusha kuwa atawaletea ambulance, na yy aliwahi kutamka majukwaani kuwa alizipata ambulance 2...
Kwa hiyo unataka kumaanisha nini? Ukabila hapa umekujaje? Au unataka kusema lema alipitishwa na wachaga? Hivi unataka kuwaaminisha watu kuwa chadema ni chama cha kikabila?
assadsyria3! mbona umetegwa ukategeka? Umesema wanakigamboni hawana udini, lkn wakati huo huo unazungumzia mambo ya kuongeza nguvu itakayokwenda kuwasaidia kuipata mahakama ya kadhi, na kujiunga na oic. sasa huoni kuwa umeyathibitisha hayo yaliyosemwa na Bw. Kicheere kuwa safari hii...
Sasa kinachowasha ni nini? Kukatwa kwa jina la Lowasa? Kwani mmesahau kuwa mtoto wa rais alishasema kuwa rais wa nchi hii hataweza kutokea kanda ya Kaskazini? Kwani tangu alipoitoa kauli hiyo akiwa uvccm iliwahi kukanushwa na mtu yeyote ndani ya uvccm au wa ndani ya ccm? So kutopitishwa kwa jina...
Bongolala! hayo uliyoyasema ya ukweli? hiyo ni sheria ipi, na imetungwa mwaka gani, na katika bunge lipi, na ni nani alieupeleka muswada huo bungeni? Hivi, hawa ma-Drs na ma-Prof. wa kiislam tulionao hapa nchini walisomea nchi gani? Inamaana sheria hiyo unayoisema haikuwahusu, na ni kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.