Godbless Lema: Kuna vichaa wengi mitaani

Godbless Lema: Kuna vichaa wengi mitaani

Wakazi wa Arusha na Makabila yao.

1. Wamasai pure- 15%

2. Waarusha- 20%

3. Wameru- 10

4. Wachaga- 20

5. Wairaqw- 15

6. Wengine- 20%

Walete ukabila waone!
Iliwahi kufanyika sensa?.

Mimi nimekaa Arusha, sijafanya sensa yoyote ila kwa macho tuu
Wamasai pure- ni asilimia 10%, ma Laiboni wao wote wako mbugani kulisha mifugo hakuna maeneo ya kulishia mifugo Arusha. Waliobaki wote wamekimbilia Dar kufanya kazi za ulinzi na kuusa dawaa, Mkashari na Mkuyati na kuwa wasusi wa rasta kwenye saloon za kike. Wachache wao wenye bahati wamechukuliwa na wabibi wa kizungu kwa ajili ya kuwa service! Waliobaki ni kina Mama Yoyo na maLaingwanan huwa hawapigi kura!

2. Waarusha- 10%, hawa wamejiishia kwa kuuza maeneo yao yote kwa Wachagga, Waarusha zimebaki koo nne tuu Arusha, Ukoo wa Mollel, Laiza, Kivuyo na Lukumayi.

3. Wameru- 10% -Wamejiishia zao kwa kuuza maeneo yao kwa Wachagga na kukimbilia nje ya mji!

4. Wachagga- 60%

5. Wairaqw- 05%

6. Wengine- 05%


Takwimu hizi ni kwa mujibu wa majina ya wanafunzi wote waliosajiliwa na Baraza la Mitihani la Taifa kwa QT. Utatambua kwa kusoma majina ya kikabila mkoa mzima wa Arusha!.

Pasco
 

Attachments

Hawa vichaa mliwatengeneza wenyewe mkawapatia na kitengo Baraza la vichaa Chadema (Bavicha) sasa unasema wamejaa mitaani.
 
"… kwani najua hawawezi kushindana na chama changu wala mimi hata kidogo kuna vichaa wengi mitaani," alisema Lema
Miongoni mwa vitu ninavyovipenda humu jf, ni ukweli na wasema kweli, hapa Lema amesema kweli kabisa kuhusu Arusha kwa sababu mimi mwenyewe, nilihudhuria kampeni zake!.

Kiukweli vijana wengi wa Arusha ni vichaa na hata wale machalii!. 2010 vichaa hawa walikuwa muhimu na waliombwa kura, 2015, kura za vichaa hawa hazihitajiki, kwa sababu mwanzo hata Lema alikuwa mmoja wao, alipochaguliwa na kwenda bungeni, pia ameitumia fursa hiyo kuondokana na ukichaa kwa kujiendeleza kwa elimu, na hata ikitokea akastaafu ubunge, hatairudia ile kazi yake ya zamani iliyomuunganisha na hao vichaa wa Arusha, hivya kwa status ya Lema sasa, hawahitaji tena hawa vichaa, bali sasa uchaguzi huu wa 2015, Lema atachaguliwa na watu wa maana tuu na sio wale machalii vichaa tena!.

Angalizo: "ukimpiga mchinja mbwa, wazimu utakurudia!",
"usitukane wakunga na uzazi ungalipo",
"usiache mbao kwa msala upitao"
"Usidharau dafu, embe tunda la msimu"
"Msitukane mvuvi kabla hujavuka mto!"

Fainali ni October.

Pasco


Pasco
 
Wakazi wa Arusha na Makabila yao.

1. Wamasai pure- 15%

2. Waarusha- 20%

3. Wameru- 10

4. Wachaga- 20

5. Wairaqw- 15

6. Wengine- 20%

Walete ukabila waone!

Kwa hiyo unataka kumaanisha nini? Ukabila hapa umekujaje? Au unataka kusema lema alipitishwa na wachaga? Hivi unataka kuwaaminisha watu kuwa chadema ni chama cha kikabila?
 
Kwa hiyo unataka kumaanisha nini? Ukabila hapa umekujaje? Au unataka kusema lema alipitishwa na wachaga? Hivi unataka kuwaaminisha watu kuwa chadema ni chama cha kikabila?

unafaa sana kuwa member wa act maana umeiva kiudini na kiukabila
 
Sitampa Lema kura yangu, namuona ni bonge la kilaza. Arusha tunahitaji mtu mwenye visio. Leo hii kusema Rashid Shebert ni sehemu ya vichaa waliopko mtaani ni kujimaliza. anapaswa kukumbuka Rashid alijitoa kwa ajili yake kuanzia mitaaani, vijiwe vya kahawa hasa Soko kuu, Kilombero na kwingineko kuweka hamasa ya yeye kuchaguliwa. wako watu ambao sura zao hazipaswi kuwekwa nyuma. ok, amalize miezi yake mitano iliyobaki akapumzike zake njiro.
 
Sitampa Lema kura yangu, namuona ni bonge la kilaza. Arusha tunahitaji mtu mwenye visio. Leo hii kusema Rashid Shebert ni sehemu ya vichaa waliopko mtaani ni kujimaliza. anapaswa kukumbuka Rashid alijitoa kwa ajili yake kuanzia mitaaani, vijiwe vya kahawa hasa Soko kuu, Kilombero na kwingineko kuweka hamasa ya yeye kuchaguliwa. wako watu ambao sura zao hazipaswi kuwekwa nyuma. ok, amalize miezi yake mitano iliyobaki akapumzike zake njiro.

Hata utambulisho wako fake, 'mlambamwiko' unatuonyesha mpaka ndani ya ubongo wako..., unafikiri kalamba 'mwiko' tuu..., na mtu wa aina yako huwezi kuwa mwanaume uliye kamilika sawasawa...
 
Kawaida sibishani na watu wenye utindio wa ubongo. Kwa utimamu wa akili nilionao Lema sio mleta maendeleo ni Mwanaharakati, najuta kumpa kura yangu TLP 2005, CHADEMA 2010. Kwa kuwa wewe ni mganga njaa huwezi kupanuka ubongo kufikiri mbali zaidi ya kitambi chako kinapoishia. Lema hafai kuendelea kuwa mbunge, akiteuliwa kura yangu naipeleka CCM.
 
Back
Top Bottom