Recent content by MAN OF ENCYCLOPEDIA

  1. M

    Shukurani kwa JamiiForums na wanaJF kwa ujumla!

    Hongera sana ndugu.Usisahau kumtolea Mungu kile kidogo upotacho(sadaka)/zaka.soma malaki 3:10
  2. M

    Hospitali za umma lango la kuzimu

    Nikweli hakuna dawa,vitendea kazi duni,uchache wa watalaam hasa maabara,nk huchangia utendaji duni.
  3. M

    Badili mkao wa kitanda chumbani

    Nikweli kuna watu huweka kitanda upande(sehem)moja kwa muda mrefu zaidi ya mwaka.hukumbana na hali hiyo.
  4. M

    Hivi wanajeshi wa kike wa JWTZ wana kazi gani?

    Wana JF.Neno zuri kulitumia hapa ni jinsi wala sio jinsia.Nikweli kazi ya jeshi haichagui jinsi .
  5. M

    Naomba mnijuze, nmeng'atwa na Mbwa

    Muone daktari haraka iwezekanavyo.
Back
Top Bottom