Recent content by Man Kicheko

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha pasheni

    Hapana passion kuanzia kupanda mpaka kuanza kuokota mavuno ni miezi 9 na sio miezi 4.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Utajiri upo katika kilimo bora cha mpunga, chukua nondo hizi

    Asante sana kaka 🙏🏾
  3. M

    JamiiForums Tanzania Utajiri upo katika kilimo bora cha mpunga, chukua nondo hizi

    Gunia 30 mpaka 40 sio mchezo, hongera. Kwenye upandaji unatumia vipimo vipi? 20x20 ama 25x25? Pia upande wa palizi mnapiga mara ngapi? Mnang'olea na mikono na vijembe ama mnatumia vile vipalizi vya chuma vya kusukuma? Na mwisho kabisa miche unatayarisha kitalu au mnapanda moja kwa moja na...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Utajiri upo katika kilimo bora cha mpunga, chukua nondo hizi

    Ukijipanga vizuri kabisa kwenye kilimo shadidi ukafuata kanuni zote wastani wa mavuno kwa eka ni kiasi gani kwa maeneo yenu mnayolima.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Unaweza kutengeneza zaidi ya Milion 37 kwa hekari 1 kwenye kilimo cha Pixie Oranges

    Hakuna mtu aliyejitoa kama wewe kuelimisha kwenye hili jukwaa hilo halina ubishi. Umekuwa sio mchoyo wa elimu na kujaribu kusanua watu hilo linathibitishwa na idadi ya mada ulizoanzisha hapa kwa miaka mingi tu. Binafsi nakukubali na nimejifunza mengi tu kupita kwako. Wakulima tumekuelewa na...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tatizo la gari kukita wakati wa kubadili gear

    Hicho kinaitwa "Kiduku" kukitoa ni kutafuta fundi mzuri. Kilinitesa kwenye Rav4 nilibadilisha mount zote, shaft mpaka gearbox lakini wapi nikaamua niishi nacho tu. Ukibeba mtu anaweza stuka na hicho kishindo akajua labda mmegonga jiwe. Miaka mingi imepita sasa nadhani kutakuwa na ufahamu au...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinachoitwa kipaji (kuzaliwa na uwezo wa kufanya kitu fulani)

    Kaka ambaye ni miongoni mwa wachoraji wakubwa nchini na uliyejifunza uchoraji kwa siku mbili tu mbali na hongera zangu kwako. 🙏🏾Tupia hapa kazi kadhaa ulizochora ili kutuInspire sie tunaopambana kujifunza kuchora kwa miaka kenda bila mafanikio.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Baba wa Kambo, Mzimu wa Kambo

    Mada fikirishi sana hii
  9. M

    JamiiForums Tanzania Msaada maelezo ya kutambua Chanjo ya kuku ya TATU MOJA kama imepoteza ubora.

    Usithubutu! Hiyo chanjo hamna kitu hapo. Sitaki kukumbuka ilivyonitia hasara.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Msanii wa Rap Mteganda Hussein hajulikani alipo toka Disemba 25, 2024

    Kama mfuatiliaji wa Hiphop Mteganda is a legend by himself. Huyu ni era ya 2005 - to current.. Nash Mc, P Mawenge, KingZilla(RIP), One, Niki Mbishi na wengineo wengi wameShare kinasa na jukwaa na Mteganda toka enzi za WAPI mpaka Kilingeni pale Msasani.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Msanii wa Rap Mteganda Hussein hajulikani alipo toka Disemba 25, 2024

    Ameshapatikana akiwa salama salmini
  12. M

    JamiiForums Tanzania Vifaranga vya kuku vimekufa vyote tatizo ni nini wengine hata vichwa hawana

    Pole! Picha iko wapi? Walikuwa bandani vifaranga wenyewe bila kuku wakubwa?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kwa alichopost Stamina anajiona katoboa, anatudharau

    Kama upo 🐒 kwenye harakati. Big up
  14. M

    JamiiForums Tanzania Nini kitasaidia mti wa mwembe kuzaa matunda?

    Uko mkoa gani? Kama ni Pwani msimu wa maembe uliopita haukufanya vizuri sana kutokana na hali ya hewa na pia mlipuko wa nzi wa maembe wanaoshambulia maua na embe kwa ujumla.
Back
Top Bottom