Recent content by man in

  1. M

    JamiiForums Tanzania Leo hii ukiwa haupo duniani, unahisi ni nani atateseka kwa kutokuwepo kwako?

    Watoto hasa binti zangu mke wangu na michepuko yangu itaolewa na kwa mbali labda wazee na dada yangu ila baada ya kula ubwabwa watasahau. Ila tupambane tuombe uzima tuache legacy
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wazee wenzangu, mnavipataje hivi vitoto vya 2000? Maana nimejaribu kila mbinu nikafeli

    Eti kwa kukusaidia... uko sahihi mimi na ufupi wangu now nawakimbia ninao kama ishirini hivi na wote hawajuani.Ila nilivokuwa nasoma walinikataa sana..
  3. M

    JamiiForums Tanzania Sijui ndio tuwaite washamba au limbukeni wa magari?

    Ebwanae hicho kiswahili cha kenya eti ..uwe Rada hahhh
  4. M

    JamiiForums Tanzania Sijui ndio tuwaite washamba au limbukeni wa magari?

    Barabarani inatakiwa kuwa na hekima sana ukiwa nayo una solve mambo mengi sana
  5. M

    JamiiForums Tanzania Sijui ndio tuwaite washamba au limbukeni wa magari?

    Ukajua perii In a conversation or text message, saying or typing the word "period"
  6. M

    JamiiForums Tanzania Sijui ndio tuwaite washamba au limbukeni wa magari?

    Njiani inatakiwa busara sana na hekima sana.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Sijui ndio tuwaite washamba au limbukeni wa magari?

    Hukutakiwa kusimama period
  8. M

    JamiiForums Tanzania NMB App iko down tangu jana hadi Muda huu

    don t put all your eggs in one basket"Don't put all your eggs in one basket" is a popular idiom meaning you should not risk all your money, time, or plans on a single option, because if it fails, you will lose everything.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kumshauri rafiki angu ana penda wanawake Sana

    Sema nini Kuna kafeeling fulani hivi kuwa na mademu wengi unajiona kama Jonasi wa The polgamist ila atumie Condom mkumbushe mwana..
  10. M

    JamiiForums Tanzania Aliyedukua tovuti ya Chuo Kikuu aitwa akasome bure

    Watamfundisha kitu kinaitwa computer Ethics
  11. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Muda wa kujiunga na Mfumo wa Ukaguzi vyombo vya moto (MIMIS) uongezwe, badala ya Julai 31, 2026

    Ndugu Ulifanikiwa au na wanakagua vitu gani kwa faida ya members?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Songea ni moja ya mji ninaohusudu

    Dawa ya kutoa hio ardhi nyekundu pawe kama Dsm ni nini?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Hii tabia ya wanawake wa siku hizi kupenda uke wenza inasababishwa na nini?

    Nimependa so do the math's Naongezea the simple math's
Back
Top Bottom