Recent content by man dunga

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hersi anahusika kutengeneza wahuni kwenye soka

    Msimu uliopita au wa juzi huni(baunsa) la uto lilimpiga shabiki aliekuwa anahojiwa baada ya uto kupata matokeo mabaya. Kuna ukweli mwenyekiti amefeli kuhimiza ustaarabu kwa hayo mabaunsa(mahuni) ya klabu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Takataka ni nyingi sana kwenye hii timu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Eneo alilopigwa kocha wa Gabarone mashabiki au viongozi hawarusiwi kuwepo

    Umeandika tukio halijatokea ndani ya uwanja hivyo haliwahusu mashabiki. Jenga hoja ya kutetea mashabiki lakini usiseme tukio halijatokea ndani ya uwanja sababu uwanjani sio tu ile sehemu ya kuchezea.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Eneo alilopigwa kocha wa Gabarone mashabiki au viongozi hawarusiwi kuwepo

    Unaposema haijatokea ndani ya uwanja, kwa hiyo wewe unaelewa uwanjani ni ile tu sehemu ya kuchezea mpira?
  5. M

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2-1 Gaborone Utd | CAFCL - Kufuzu Round 1 | Azam Complex | AGG 3-2

    Hakuna anaewalemaza ,ukweli uto hamna timu ya kuvuka makundi.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwa Tukio Hili Yanga Sijui Kama Atakwepa Rungu la CAF

    Huyo sio shabiki ni kiongozi wa uto.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Gaborone apigwa ngumi: TFF Ichukue Hatua Kulinda Taswira ya Tanzania

    Wapi nimetetea uto kurusha ngumi?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Gaborone apigwa ngumi: TFF Ichukue Hatua Kulinda Taswira ya Tanzania

    Kwenye logo ya uto kuna ngumi na sio mara ya kwanza timu lao kurusha ngumi
  9. M

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2-1 Gaborone Utd | CAFCL - Kufuzu Round 1 | Azam Complex | AGG 3-2

    Uto mna timu ya kuishia makundi
  10. M

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Yanga umeanza kujengwa kweli?

    Ila uto eti ujenzi wa uwanja unaanza 'kesho'.
  11. M

    JamiiForums Tanzania NJOMBE: Amuua mumewe kwa kumpiga na chuma kichwani

    Njombe,Geita ,Arusha maukatili Top 3
  12. M

    JamiiForums Tanzania Akili ni kama mimba tu, aidha unayo au huna. Hakuna mwenye akili nyingi, wala mwenye akili kidogo

    Unatumia akili kuamua au kukataa kutumia akili kwenye mambo muhimu. Hivyo una akili kidogo.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Azam TV yaongeza channel mpya Azam Sports 5 HD

    Sio Kweli.Tanzania sio mjini tu. Vijijini huko network shida ya kupata internet ya kueleweka.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Pwani siku zote ndio huwa inatawala na kuwa na mamlaka bara, ujanja huanzia Pwani

    Kinyume cha Pwani sio bara. Mtu wa Tanga anajiona yeye hayuko bara, sijui ni shule zipi zimewafundisha hivi watu wa Pwani.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania watu binafsi wasirusiwe kujenga nyumba bali makampuni ya real estate

    Ili miji kupendeza inahitaji vitu viwili tu kufanyika wala haitaji kampuni binafsi kutujengea nyumba. (1) Ardhi ipimwe (2) Kusimamia vibali vya ujenzi . Ardhi ikipimwa kila mmoja atajenga kwenye ardhi iliyopimwa , Idara ya Ardhi waweke standard ya nyumba kila plot na iwe ni sheria kwa kila...
Back
Top Bottom