Msimu uliopita au wa juzi huni(baunsa) la uto lilimpiga shabiki aliekuwa anahojiwa baada ya uto kupata matokeo mabaya.
Kuna ukweli mwenyekiti amefeli kuhimiza ustaarabu kwa hayo mabaunsa(mahuni) ya klabu.
Umeandika tukio halijatokea ndani ya uwanja hivyo haliwahusu mashabiki.
Jenga hoja ya kutetea mashabiki lakini usiseme tukio halijatokea ndani ya uwanja sababu uwanjani sio tu ile sehemu ya kuchezea.
Ili miji kupendeza inahitaji vitu viwili tu kufanyika wala haitaji kampuni binafsi kutujengea nyumba.
(1) Ardhi ipimwe (2) Kusimamia vibali vya ujenzi .
Ardhi ikipimwa kila mmoja atajenga kwenye ardhi iliyopimwa , Idara ya Ardhi waweke standard ya nyumba kila plot na iwe ni sheria kwa kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.