Recent content by man dunga

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mo Dewji aahidi $11.3 milion kwa ajili ya uwanja wa Simba

    Hata viongozi wa uto nao ni hivyo hivyo. Rais wa uto alisema uwanja unaanza kujengwa 'kesho'. Ni mwezi/miezi imepita je ujenzi umeanza?. Hizo klabu mbili sio za kuzichukulia serious sana kama una akili timamu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Sapraiziiii: Yanga yamsajili Selemani Mwalimu siku mbili baada ya kunukuliwa akisema ataichezea Simba Msimu wa 2026/27

    Kama mliletewa Manzoki kwenye uchaguzi bado hamjui kama mnaonwa mapoyoyo.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Huu ni upendeleo au mbona ngao ya jamii msimu huu ni mechi moja?

    Sikumbuki vizuri. Ila nakumbuka kuna misimu kama miwili timu nne ziligombania hiyo ngao.
  4. M

    JamiiForums Tanzania JF Houseparty

    Hii nchi ina vijana wa hovyo sana. Hujui kama ambao hawana mvuto wanaweza kuwa na connection kubwa kuwazidi hao wengine.Kijana Yunge angekuwa na akili hizi asingeingia ikulu.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Huu ni upendeleo au mbona ngao ya jamii msimu huu ni mechi moja?

    Kati ya misimu miwili au mitatu tumeona ngao ya jamii ikigombaniwa na timu nne ila msimu huu ni timu mbili. Kwamba ikionekana simba na yanga hawakutani kwenye hiyo mechi kanuni ya timu nne ndio inafuatwa. Msimu mwingine timu ya Azam au Singida utd iliyostahili kucheza ngao ya jamii italaumiwa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka hii kuendelea kutamba kwamba umezaliwa Dar es Salaam ni aina nyingine ya ushamba unaotakiwa kuachwa mara moja

    Kwa hiyo usmart ni pamoja na kukusanyika na kushangaa box lililotelekezwa hapo Dar au wale ni wa vijijini ? Kwa hiyo kuuziwa udongo na mchungaji kutoka mkoani ni usmart au wale wote ni wa vijijini? Kiboko ya wachawi alikuwa anawapiga wa vijijini?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa LATRA; Safari ndefu zinahitaji kuwa na madereva wawili

    Unaona tu upande mmoja. Kuna favour kibao mnapewa kama za kutoshuka kwa nauli baada ya mafuta kushuka bei. Kati ya kuongeza dereva mmoja ili kuongeza usalama wa abiria na LATRA wakiwa wanashusha nauli kadri mafuta yanavyoshuka bei ipi inapunguza kipato?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu nchi za ulaya zinazotumia unga wa mahindi kwenye mapishi yao

    Acheni kusingizia mahindi ,ukilaza hausababishwi na ugali. Nchi nyingi tu hapa Afrika hazitumii unga wa mahindi kama ugali huu wa kwetu lakini mbona akili zile zile. Ukilaza wetu ngozi nyeusi unasababishwa na ubinafsi, kila mmoja anjiwazia yeye tumbo lake.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Wamatumbi mtanisamehe kwa hili

    Tembea hapa nchini uone waarabu wenye maisha ya kawaida tu. Wapo wengi. Mambo sio rahisi kama unavyofikiri. Kwa hiyo wale waarabu elfu 50 wa morocco waliokimbilia spain na wengine kufa wameshindwa kujiajiri kwao wanaenda kujiajiri spain?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ukitaka hela za haraka fungua kanisa kuna majinga mengi; kinachoendelea Kawe kwa Mwamposa kinasikitisha

    Wapo ila sio kwa idadi kubwa kuliko wakaazi wa huko Dar na ndio maana kuna makanisa mengine mengi ya aina hiyo. Ingekuwa waumini wengi wajinga wanatoka mikoani basi hayo makanisa wangekuwa wanajenga mkoani dodoma katikati ya TZ.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ukitaka hela za haraka fungua kanisa kuna majinga mengi; kinachoendelea Kawe kwa Mwamposa kinasikitisha

    Sio kweli . Kiboko ya wachawi bila kufukuzwa angekuwa anajaza majinga mengi pia ya huko Dar.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ukitaka hela za haraka fungua kanisa kuna majinga mengi; kinachoendelea Kawe kwa Mwamposa kinasikitisha

    Sana sana Dar es salaam ndiko yalikojaa majinga.Sisi huku mikoani wachungaji matapeli wamebaki na makanisa yao ya mabati miaka na miaka.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ajali ya basi la Isamilo na Libanika, alfajiri ya leo

    Haraka bila sababu ,kujiona kwamba wao ndio kipaumbele kwenye barabara hiyo ni shida kubwa. Njia nne ndio suluhisho kwa aina ya madereva wetu.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Uvunjaji wa tamaduni wa Simba na Yanga ndiyo mwisho wa Raisi Karia

    Itakuwa huwa wanajidunga masindano kule nyumba binafsi wakati wa mechi.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Mke adanganya ametekwa ili aende kwa mchepuko wake

    Jitu zima akili kisoda.Sasa kwa nini asisafiri kumfuata mume wake? Kwamba mwanaume hataki kufuatwa? Unachepuka na huna uchungu na watoto wako unashindwa hata na wanyama.
Back
Top Bottom