Recent content by man dunga

  1. M

    Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    Hili ni jukwaa huru niko huru kutoa maoni yangu ilimradi sijavunja sheria.Maoni yangu sio sheria hivyo hakuna anaepangiwa. Unatakiwa uelewe kwamba sio kila kinachoandikwa humu kitafurahisha kichwa chako, na pia huwajibiki kunipangia cha kuandika.
  2. M

    Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    Umefanya ujinga sana.Mwanaume anaejielewa halipizi umalaya wa mke wake kwa umalaya.Hata kama kuachana na mke ni ngumu kama mna watoto ila ili upone maumivu ya kusalitiwa kwa ushahidi dawa yake ni kuachana. Mke wako akibaki halafu ukaja tena kusikia unasalitiwa hatua inayofuata unakaribia...
  3. M

    Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    "Hiyo ndio Tanzania" hapo unakuta walikuwekea mabongo flavour na mamovie yenye mambo ya hovyo hovyo huku ndani ya bus kukiwa na watoto. Mimi Mkristo ninae jitambua nitavumilia mahubiri ya kiislamu ndani ya bus kuliko mabongo flavour na ma movie maana mengi yanakuwa ya hovyo,kuna siku wakati...
  4. M

    Pongezi kwenu Single Mothers

    Miaka ya mwishoni mwa 90 nimeshuhudia jamaa akiondoka kwenye familia aliyozaliwa na kuhamia kwa ukoo wa baba halisi bila mgogoro. Kwa hiyo wazee na ukoo wake walikuwa wanajua kuwa kuna watoto sio wao na ndio maana watoto wakihama ilikuwa haileti mgogoro. Kiukweli wazee walikuwa na uvumilivu...
  5. M

    Pongezi kwenu Single Mothers

    Vijana mna mioyo miepesi sana.Sembuse single maza, wazee wa wazamani walikuwa wanalea watoto waliozaliwa na mke nje ya ndoa huku akiwa ndani ya ndoa.
  6. M

    Mke mwema anatoka kwa Bwana sasa kwanini asiwe na bikira yake?

    Kwanza unatakiwa ujue wema wa mke ukoje na unaupimaje mpaka kujua huyu mke ni mwema.Ukishajua hivyo ndio uulize hilo swali. Haya tuambie wewe ulimuona wapi mke mwema?
  7. M

    Vilabu vyote vigome kushiriki michuano ya CAF kama vilabu vya Senegal vimetangaza kugoma

    Kwa akili hizi za CAF wanaweza kushirikiana na Morocco kuzifanyia figisu mataifa mengine ya Africa yasifike nusu fainal world cup
  8. M

    Mlima Namanga wapasuka katikati na kuporomoka

    Kwa hiyo reference ni nini kama dictionary huitaki? Elezea hiyo Land slide kwa kiswahili
  9. M

    Mlima Namanga wapasuka katikati na kuporomoka

    Mzee yuko sahihi ila wewe umekariri elimu uchwara. Kwa mujibu wa dictionary ; Kupasuka(break)-disintegrate, fall to pieces, split. Na hayo Material pia yalikuwa yanaunda mlima.
  10. M

    Wizara ya Elimu inaruhusuje watoto wanateswa hivi ili shule zionekane inafanya vizuri kimatokeo

    Shida ni wazazi maana huo muda wa saa 11 asubuhi sio muda wa wizara wa mtoto kuwa shuleni.Maana yake ni kwamba mtoto anasoma shule ya mbali hivyo inamlazimu awahi kuamka ili kufika shuleni muda wa kawaida ambao inaweza kuwa ni saa moja asubuhi au saa mbili. Sasa jiulize huko mtaani karibu na...
  11. M

    Boti iliyozama Kigoma na Watumishi wa afya, Kwanini haikuwa na life jackets?

    Wote wale wale tu.Mv Ukara ilizama enzi zake na watu karibu 200 walikufa, mbaya zaidi uokoaji ulikuwa unasitishwa ikiingia giza, kabisa yaani unasitisha uokoaji wa watu kisa giza? Ngozi nyeusi ni laana.
  12. M

    Hivi Watu wasiokunywa pombe huwa wana akili timamu kweli?

    kwa nini walevi mnajifariji kwa kuona wasio walevi wanakuwa wazinzi, wakati kiuhalisia pombe inachochea uzinzi na walevi wengi ni wazinzi
  13. M

    Hakuna Simba wala Yanga, wote wameishia makundi CAF, ni mwanzo wa anguko kwa Soka la Tanzania kimataifa?

    Simba itanyanyuka tena, hizo timu zingine ndogo haina shida ndio nafasi zao maana hawajawahi kuwa Mwakarobo
  14. M

    FT: Far Rabat 1-0 Yanga SC | CAF Champions League | Olympique de Rabat | Februari 7, 2026

    Uto hana chake waarabu watapanga matokeo watatoa sare
  15. M

    FT: Far Rabat 1-0 Yanga SC | CAF Champions League | Olympique de Rabat | Februari 7, 2026

    Waarabu watatoa draw mechi ya mwisho, Uto goodbye
Back
Top Bottom