Hili ni jukwaa huru niko huru kutoa maoni yangu ilimradi sijavunja sheria.Maoni yangu sio sheria hivyo hakuna anaepangiwa. Unatakiwa uelewe kwamba sio kila kinachoandikwa humu kitafurahisha kichwa chako, na pia huwajibiki kunipangia cha kuandika.
Umefanya ujinga sana.Mwanaume anaejielewa halipizi umalaya wa mke wake kwa umalaya.Hata kama kuachana na mke ni ngumu kama mna watoto ila ili upone maumivu ya kusalitiwa kwa ushahidi dawa yake ni kuachana. Mke wako akibaki halafu ukaja tena kusikia unasalitiwa hatua inayofuata unakaribia...
"Hiyo ndio Tanzania" hapo unakuta walikuwekea mabongo flavour na mamovie yenye mambo ya hovyo hovyo huku ndani ya bus kukiwa na watoto. Mimi Mkristo ninae jitambua nitavumilia mahubiri ya kiislamu ndani ya bus kuliko mabongo flavour na ma movie maana mengi yanakuwa ya hovyo,kuna siku wakati...
Miaka ya mwishoni mwa 90 nimeshuhudia jamaa akiondoka kwenye familia aliyozaliwa na kuhamia kwa ukoo wa baba halisi bila mgogoro.
Kwa hiyo wazee na ukoo wake walikuwa wanajua kuwa kuna watoto sio wao na ndio maana watoto wakihama ilikuwa haileti mgogoro.
Kiukweli wazee walikuwa na uvumilivu...
Kwanza unatakiwa ujue wema wa mke ukoje na unaupimaje mpaka kujua huyu mke ni mwema.Ukishajua hivyo
ndio uulize hilo swali. Haya tuambie wewe ulimuona wapi mke mwema?
Mzee yuko sahihi ila wewe umekariri elimu uchwara. Kwa mujibu wa dictionary ; Kupasuka(break)-disintegrate, fall to pieces, split. Na hayo Material pia yalikuwa yanaunda mlima.
Shida ni wazazi maana huo muda wa saa 11 asubuhi sio muda wa wizara wa mtoto kuwa shuleni.Maana yake ni kwamba mtoto anasoma shule ya mbali hivyo inamlazimu awahi kuamka ili kufika shuleni muda wa kawaida ambao inaweza kuwa ni saa moja asubuhi au saa mbili.
Sasa jiulize huko mtaani karibu na...
Wote wale wale tu.Mv Ukara ilizama enzi zake na watu karibu 200 walikufa, mbaya zaidi uokoaji ulikuwa unasitishwa ikiingia giza, kabisa yaani unasitisha uokoaji wa watu kisa giza? Ngozi nyeusi ni laana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.