Hata viongozi wa uto nao ni hivyo hivyo. Rais wa uto alisema uwanja unaanza kujengwa 'kesho'. Ni mwezi/miezi imepita je ujenzi umeanza?. Hizo klabu mbili sio za kuzichukulia serious sana kama una akili timamu.
Hii nchi ina vijana wa hovyo sana. Hujui kama ambao hawana mvuto wanaweza kuwa na connection kubwa kuwazidi hao wengine.Kijana Yunge angekuwa na akili hizi asingeingia ikulu.
Kati ya misimu miwili au mitatu tumeona ngao ya jamii ikigombaniwa na timu nne ila msimu huu ni timu mbili. Kwamba ikionekana simba na yanga hawakutani kwenye hiyo mechi kanuni ya timu nne ndio inafuatwa.
Msimu mwingine timu ya Azam au Singida utd iliyostahili kucheza ngao ya jamii italaumiwa...
Kwa hiyo usmart ni pamoja na kukusanyika na kushangaa box lililotelekezwa hapo Dar au wale ni wa vijijini ? Kwa hiyo kuuziwa udongo na mchungaji kutoka mkoani ni usmart au wale wote ni wa vijijini? Kiboko ya wachawi alikuwa anawapiga wa vijijini?
Unaona tu upande mmoja. Kuna favour kibao mnapewa kama za kutoshuka kwa nauli baada ya mafuta kushuka bei. Kati ya kuongeza dereva mmoja ili kuongeza usalama wa abiria na LATRA wakiwa wanashusha nauli kadri mafuta yanavyoshuka bei ipi inapunguza kipato?
Acheni kusingizia mahindi ,ukilaza hausababishwi na ugali. Nchi nyingi tu hapa Afrika hazitumii unga wa mahindi kama ugali huu wa kwetu lakini mbona akili zile zile. Ukilaza wetu ngozi nyeusi unasababishwa na ubinafsi, kila mmoja anjiwazia yeye tumbo lake.
Tembea hapa nchini uone waarabu wenye maisha ya kawaida tu. Wapo wengi. Mambo sio rahisi kama unavyofikiri. Kwa hiyo wale waarabu elfu 50 wa morocco waliokimbilia spain na wengine kufa wameshindwa kujiajiri kwao wanaenda kujiajiri spain?
Wapo ila sio kwa idadi kubwa kuliko wakaazi wa huko Dar na ndio maana kuna makanisa mengine mengi ya aina hiyo. Ingekuwa waumini wengi wajinga wanatoka mikoani basi hayo makanisa wangekuwa wanajenga mkoani dodoma katikati ya TZ.
Jitu zima akili kisoda.Sasa kwa nini asisafiri kumfuata mume wake? Kwamba mwanaume hataki kufuatwa? Unachepuka na huna uchungu na watoto wako unashindwa hata na wanyama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.