Usimpangie Mungu kuondoa uovu tu lakini pia anaweza akafanya revision ya mwanadamu jinsi anatakiwa awe labda awe bila akili.Maovu mengi yanasababishwa na binadamu kuwa na akili tofauti.
Hata kama wasio na watoto wanaishi vizuri kuliko wenye watoto lakini hao wasio na watoto kuishi kwao vizuri kunategemea uwepo wa watoto wa wenzao. Kama unapinga watoto kuzaliwa basi inabidi ujiondoe duniani umeze vidonge ufe lakini sio kutamani kuishi sababu ni unataka watoto wa nani ndio wakupe...
Kuna hii pia ya kulazimisha darasa la nne na la saba wawe boarding. Hizi shule za bongo ni miyeyusho sana, mtoto wa darasa la nne au saba unalazimisha akae boarding ili mumuongezee nini ambacho ameshindwa kupata akiwa day.
Jidanganye kwamba kila mwenye nyumba ni mzee kwamba utamletea ubabe wako wa bangi. Kwa hiyo vigezo na masharti unavyowekewa kwenye mkataba unafikiri ni vya mapambo. Kama hukubaliani na masharti katafute sehemu nyingine lakini kamwe mpangaji hawezi kuishi atakavyo. Utaishi utakavyo kwenye nyumba...
Kupanga sio kumiliki hivyo lazima kuwepo na vigezo na masharti sababu wapangaji wanatabia tofauti. Nikiweka sharti la nina mamlaka ya kukagua nyumba ninapotaka haimaanishi nitagua namana ile ile kwa kila mpangaji bali itategemea na mpangaji . Kwa nyumba zako wewe kuwaacha wapangaji waishi...
Funguo utakaa nazo wewe mpangaji sawa ila nitakupa masharti ya kila mwezi lazima niikague nyumba ndani , maana huko kenya kuna jamaa wa taifa lingine walipanga nyumba, ndugu zao wakifariki walikuwa wanazika ndani na kuweka tiles upya.
Wife material wenye umri chini ya miaka 25 wengi ni wenye elimu za hapa na pale, lakini hawa akina mama junior/jayden wajao wenye kadegree kamoja kutuliza kichwa kwenye ndoa akiwa na miaka chini ya 25 ni sawa na tembo kupenya tundu la sindano.
Umesahau kama Uto ilifungwa kwenye uwanja wake pendwa wa ulozi kule Zanzibar ,Azam Complex mlihama wenyewe , Kwa Mkapa huwa mna pita mageti yasiyo rasmi au mlitaka uwanja ule wa dodoma jiji? Halafu kama una akili timamu usiwaamini sana wanauto wenzako maana miaka ya 2000 sisi wakongwe tushaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.