Recent content by man dunga

  1. M

    Kwanini wenye nyumba Tanzania wanalazimisha kodi iwe miezi mitatu au sita?

    Tafuta hela dogo acha makasiriko.Nyinyi si ndio mnasema kujenga ni kuzika pesa, sasa utachagua uizike kwa kujenga au uizike kwa kupanga.
  2. M

    Kwanini wenye nyumba Tanzania wanalazimisha kodi iwe miezi mitatu au sita?

    Mjinga mwenyewe ,jenga yako ufanye hivyo. Suala la nyumba za kupangisha ni kama shule tu. Shule zingine unalipa ada mara moja kwa mwaka, nyingine unaambiwa mara 2, nyingine mara 4. Hivyo unapeleka mtoto kwenye shule unayoimudu. Ni hivyo hivyo kwenye nyumba wengine wanachukua miez 2, wengine 3...
  3. M

    Ukishakuwa underdog lazima ujifunze kushikilia bomba mpaka dakika 90. Hata siasa ziko hivyohivyo

    Kwani hujui kuna mabomba yapo kwenye chumba cha VAR? Underdog atayashika vipi hayo mabomba?
  4. M

    Mbona wanaume wengi wakifananishwa na wanawake wanakasirika?

    Hiyo ni kwa wanaume rijali na sio yale mengine. Hata wewe mwanamke unaejitambua ni mwanamke huwezi kufurahi ukiambiwa unafanana na mwanaume.
  5. M

    FT: Argentina 3-2 Egypt | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | 7 Julai, 2026 | 1:00 Usiku | Egypt yaaga mashindano

    Wote tumeangalia mpira haikuwa clear hivyo kusema salah alipoteza mpira kabla ya contact.
  6. M

    Mbwana Samatta atangaza Kustaafu Timu Ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars"

    Mchezaji bora wa muda wote Tanzania.
  7. M

    Irene, Kutoka kuwa "Hot Cake" hadi kuwa mzigo wenye maradhi

    Usimuonee huruma mwanamke kwenye suala la mahusiano.
  8. M

    Una mpango wa kurudi kuwasalimia Walimu wako wa Primary na Sekondari au ndiyo basi ishapita NO shobo tena?

    Kama alikufundisha hivyo sidhani kama ugonjwa wa hesabu uliwahi kupona.
  9. M

    Ujenzi wa msingi resho ya mchanga na cement hii hapa

    Endelea na ujuha wako maana hauelezeki.
  10. M

    Ujenzi wa msingi resho ya mchanga na cement hii hapa

    Usikurupuke mimi sio mleta mada na pia na wewe maelezo yako hayajitoshelezi. Jifunzeni na kama ni ngumu kuelewa basi kubali kuwa hujui maana shida yenu mafundi mnaamini kila kitu ni cha kujua tu mtaani wakati ukweli vitu vingine ni vya kielimu zaidi. Fundi ni hivi unapoambiwa ratio ya...
  11. M

    Ujenzi wa msingi resho ya mchanga na cement hii hapa

    Yuko sahihi .Ni mambo ya shule kidogo .Anaposema ratio ya cement na mchanga ya 1:3 maana yake ujazo wa cement/ujazo wa mchanga=1/3=0.33. Lakini pia Resho inaweza kuwa kwa upande wa uzito. Sasa anaposema mfuko mmoja wa cement changanya na ndoo 6 kubwa, sababu ni kwamba mfuko mmoja wa cement...
  12. M

    Hii picha moja tu imejumuisha tatizo kubwa lililopo ndani yetu vijana wa kileo

    Picha haina madhara kwa jamii ya umri gani? Kijana mdogo wa kiume labda umri miaka 13 na dada yake ukiwakuta wamekaa hivyo nyumbani ni sawa? Ndio maana watoto wadogo wanakuwa na muongozo kwenye kutumia mitandao ili kuepukana kuona na picha kama hizi maana kwao ni rahisi kuiga kwa namna tofauti.
  13. M

    Hii picha moja tu imejumuisha tatizo kubwa lililopo ndani yetu vijana wa kileo

    Jibu ni kwamba hakuna mtu anaenda kanisani akiwa amelewa ,hata kama kunywa pombe hakuna shida lakini je kila mlevi akijirekodi amelewa huko baa na kusambaza kwa public je ni sawa hiyo?
  14. M

    Hii picha moja tu imejumuisha tatizo kubwa lililopo ndani yetu vijana wa kileo

    Sio kila jambo unalofanya hata kama ni halali linapaswa kuonwa na public. Ni kama tu mamiziki ya mabongo fleva mengine unavyoyaona hayafai kutazamwa na watoto.
  15. M

    Hii picha moja tu imejumuisha tatizo kubwa lililopo ndani yetu vijana wa kileo

    Kila vazi na maeneo yake ila maadili ndio yamefanya iwe hivyo. Sio kila ulivyovaa maeneo fulani yapaswa kuonwa na kila mtu. Umeenda beach au klabu ya usiku unaweza kuvaa kwa mazingira hayo ila sio kila vazi ulilovaa huko upige picha usambaze kwa public.
Back
Top Bottom