Recent content by man dunga

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tupac aliwaza mbali sana kuhusu suala la kuleta watoto duniani

    Usimpangie Mungu kuondoa uovu tu lakini pia anaweza akafanya revision ya mwanadamu jinsi anatakiwa awe labda awe bila akili.Maovu mengi yanasababishwa na binadamu kuwa na akili tofauti.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tupac aliwaza mbali sana kuhusu suala la kuleta watoto duniani

    Hata kama wasio na watoto wanaishi vizuri kuliko wenye watoto lakini hao wasio na watoto kuishi kwao vizuri kunategemea uwepo wa watoto wa wenzao. Kama unapinga watoto kuzaliwa basi inabidi ujiondoe duniani umeze vidonge ufe lakini sio kutamani kuishi sababu ni unataka watoto wa nani ndio wakupe...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Fanya hivi ili uzi upate wachangiaji wengi

    Namba 2 sio kweli.Nyuzi ambazo hazina mashiko kama hiyo namba 5 ndio zinaongoza macomment.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hivi wazazi mnaoleaga hivi watoto huwa mnajielewa kweli?

    Mama na baba Junior
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kuamsha mtoto saa 11.00 alfajiri kwenda shule ni ujinga na kutojali afya ya mtoto wako

    Kuna wazazi wapumbavu sana
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kuamsha mtoto saa 11.00 alfajiri kwenda shule ni ujinga na kutojali afya ya mtoto wako

    Kuna hii pia ya kulazimisha darasa la nne na la saba wawe boarding. Hizi shule za bongo ni miyeyusho sana, mtoto wa darasa la nne au saba unalazimisha akae boarding ili mumuongezee nini ambacho ameshindwa kupata akiwa day.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hakikisha mwenye nyumba anakupa funguo zote. Nimemkuta ndani kwangu, ameingia bila ridhaa yangu

    Jidanganye kwamba kila mwenye nyumba ni mzee kwamba utamletea ubabe wako wa bangi. Kwa hiyo vigezo na masharti unavyowekewa kwenye mkataba unafikiri ni vya mapambo. Kama hukubaliani na masharti katafute sehemu nyingine lakini kamwe mpangaji hawezi kuishi atakavyo. Utaishi utakavyo kwenye nyumba...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hakikisha mwenye nyumba anakupa funguo zote. Nimemkuta ndani kwangu, ameingia bila ridhaa yangu

    Kupanga sio kumiliki hivyo lazima kuwepo na vigezo na masharti sababu wapangaji wanatabia tofauti. Nikiweka sharti la nina mamlaka ya kukagua nyumba ninapotaka haimaanishi nitagua namana ile ile kwa kila mpangaji bali itategemea na mpangaji . Kwa nyumba zako wewe kuwaacha wapangaji waishi...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisi Waafrika tusitafute breed ya mbwa koko na mbwa mwitu?

    Ungekuwa uzi wa kumjadili mdada wa jamii forum ungekuwa umefikisha wachangiaji 200.Hii nchi sijui nani alituroga.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hakikisha mwenye nyumba anakupa funguo zote. Nimemkuta ndani kwangu, ameingia bila ridhaa yangu

    Funguo utakaa nazo wewe mpangaji sawa ila nitakupa masharti ya kila mwezi lazima niikague nyumba ndani , maana huko kenya kuna jamaa wa taifa lingine walipanga nyumba, ndugu zao wakifariki walikuwa wanazika ndani na kuweka tiles upya.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Wife material wenye umri chini ya miaka 25 wengi ni wenye elimu za hapa na pale, lakini hawa akina mama junior/jayden wajao wenye kadegree kamoja kutuliza kichwa kwenye ndoa akiwa na miaka chini ya 25 ni sawa na tembo kupenya tundu la sindano.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Yanga: TEAM 26% GSM 50% Wawekezaji 24%. Uhalisia upo hivyo kimahesabu

    Umesahau kama Uto ilifungwa kwenye uwanja wake pendwa wa ulozi kule Zanzibar ,Azam Complex mlihama wenyewe , Kwa Mkapa huwa mna pita mageti yasiyo rasmi au mlitaka uwanja ule wa dodoma jiji? Halafu kama una akili timamu usiwaamini sana wanauto wenzako maana miaka ya 2000 sisi wakongwe tushaona...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Yanga na GSM zasaini mkataba wa ujenzi wa uwanja wa Yanga

    Ni wale wale tu, ila wewe na akili zako unaamini kabisa kwamba uwanja wa uto ujenzi umeanza leo huku hata mkandarasi hajulikani.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Yanga na GSM zasaini mkataba wa ujenzi wa uwanja wa Yanga

    Piga picha bango la mradi tumuone mkandarasi na msimamizi ni nani. Kama hamna uto mmepigwa.
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Funga zipu! Hata Mkeo ni mzuri, sema tu umemzoea

    Ila inahitaji roho ya uzinzi kubwa sana kumuaga wife kuwa unatoka kidogo kumbe unaenda lodge na limchepuko.
Back
Top Bottom