Kwa muonekano wa njee hakuna tatizo ila ukiangalia indeep kama kuna shida hivi kwanza pitia maelezo yake mara mbili mbili ya huo ujumbe utagundua hali haipo sawa kwanini asisitize usalama kwani mtaa anaoenda una mapigano na kama hakuna usalama kwanini aende na kama lengo ni kuonana na mama...
Hizo ni fikra potofu mana huo mchezo upo popote duniani inategemea binti mwenyewe akilegeza wanamlegeza
Pia maadili na malezi ya mabinti yanachangia kidumu kwenye ndoa mana wanarizika na kuvumilia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.