Chadema jipangeni vizuri mambo mazuri hayataki haraka,mungu amesema busara na subira ndo ngozo na njia njema hebu timieni busara na hrkima zaidi,matusi ni uongofu
Hakika usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzio,kama lema ni kweli msifurahie kwa sababu siku ya kupigwa wewe unayefurahia,utasema unaonewa,tafakari kabla hujashabikia usichokijua.
Sababu kubwa inayopelekea chama kushindwa katika uchaguzi ni mgawanyiko ulioko ndani ya chama,chama sikibaya ila viongozi jipangeni acheni chuki mnaharibu chama.
Ndiyo mimi nI dada yake nanilikuwa naye mpaka mwisho wa kampeni nikitu kisichowrzekana Ally Mkali kuingia chadema,hakika hizo ni ndoto,achaneni nao na maneno yao ya uzushi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.