Recent content by mamitod

  1. mamitod

    Kweli Mbowe anapewa nafasi kuongea, ananyimwa Jakaya? Nashauri familia hizi zikae zimalize bifu

    Apewe nafasi ye nani kwani? Na angezomewa kweli, alimnyanyasa sana na jamaa hakumjibu kwa namna yo yote. Wameona umoja ulivyotamalaki huko. Wajifunze kitu kutoka north, watu wanawekeza toka utotoni sio wanasubiri vyeo vya kupeana na kuiba serikalini tu.
  2. mamitod

    Lowassa alivyoimbiwa na wajumbe wa CCM 2015

    COM wenyewe walimtaka Lowassa, lkn kutokana na wivu wa mkwere na mwanakwenda, watu wengi waliteseka kwa hilo. Bila aibu kwa sababu ya njaa zao, watu wazima na akili zao wanaenda mpigia magoti mwanaume mwenzao. Ufala uliopitiliza, njaa zitawaua umbwa nyie, ndio mnaotuletea shida watu wa chini...
  3. mamitod

    Lowassa alivyoimbiwa na wajumbe wa CCM 2015

    Hao wanaoimba ni nani? Sio CCM? Kalale basi maana umechoka
  4. mamitod

    Lowassa alivyoimbiwa na wajumbe wa CCM 2015

    Kwani alipochukua mwanakwenda ilikuwaje?
  5. mamitod

    Lowassa alivyoimbiwa na wajumbe wa CCM 2015

    Kwani wakipita hapo ni CHADEMA?
  6. mamitod

    Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

    Roho ya kwa korosho tu, kwa nn mnorth ana pesa kuliko yeye. Amekufa maskini hakuna mtoto.wake hata mmoja aliyetoboa, alitaka waTZ wabaki maskini. Huyu mwanakwenda naye kafuata ujinga uleule eti kanda fulani usipeleke fedha, wawasubiri wenzao. Kalagha baho, yuko wapi? Kwenda mwana kwenda kafie...
  7. mamitod

    Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

    Siasa ni mchezo wa kijinga sana especially kwa waafrika ambao malengo yao sio kutumikia wananchi hali kujipatia na kujilimbikizia mali. Siwapendi kama kifo
  8. mamitod

    Kweli Mbowe anapewa nafasi kuongea, ananyimwa Jakaya? Nashauri familia hizi zikae zimalize bifu

    Watu wote mbumbumbu, kama bendera fata upepo, akija huyu anavuruga mwanzo mwisho, walio chini.yake wote ni yes baba yes baba, kila anachosema wote ni ndio, akipita wengine watokwa uharo. Wakenya wana umoja, waTZ tutatwanga sana maji kwenye kinu
  9. mamitod

    Kweli Mbowe anapewa nafasi kuongea, ananyimwa Jakaya? Nashauri familia hizi zikae zimalize bifu

    Aongee kwani yee nani? Asipoongea hazikwi? Naye tunamsubiria
  10. mamitod

    Kweli Mbowe anapewa nafasi kuongea, ananyimwa Jakaya? Nashauri familia hizi zikae zimalize bifu

    Kwani JK nani hasa? Wanafiki wakubwa walimdhalilisha kwa kila hali na kumdhulumu haki yake leo hii wanamsifia, what a shame? Of all the people Mr. Taratibu unathubutu hata kusogelea jeneza na kupiga magoti? Wallah nchi hii ni ya wanafiki watupu. JK unajua uliyomfanyia uliyemuaminisha kwamba ni...
  11. mamitod

    Picha: Sanamu ya Nyerere Makao Makuu Umoja wa Afrika, ni yeye au lah?

    Acha nicheke tu, daaa kama alikuwa anakula saruji maisha yake yote. Watu earache utabi na maisha ya watu bana. This is serious
  12. mamitod

    Hawa ndiyo wahenga Bongo waliooa wazungu

    Hakuna wanawake walioleta wadhungu huku?
  13. mamitod

    Nahitaji mpenzi wa kike miaka 25-50

    Wewe hutaji umri wako kissa nini?
  14. mamitod

    Majibu yangu kwa Eric Shigongo kuhusu umaskini

    Umaskini ni nini? Unaufafanua vp? Tatizo watu wamefumbwa zaidi na starehe za dunia na ndio maana hii minabii uchwara kila siku inapotosha watu kwa kuhubiri utajiri wa vitu badala ya utajiri wA nafsi (rohoni) ina haja gani kuwa na material things lakini rohoni unateseka?
Back
Top Bottom