Kwa uelewa wangu eneo linawekewa mitambo ya gprs ukivuka eneo la uzio hata ukiwa kilometer tano chini ya ardhi inajulikana so kwa hili kuiba ni ngumu, japo huyu sizonje simpendi hata
Hayo yote uliyotaja, ulimboka, kibanda, wangwe mpaka leo si serekali wala polisi waliotupa majibu ya nn kilitokea halafu tuendelee kuamini serekali na polisi?? Upuuzi mtupu
mm nikiangalia hii movie napata wazo moja tu (ukitaka kupambana na adui yako haribu ubongo wake haraka, au ungana nae haraka) yani lipumba anaumiza watu vichwa kwa kua kibaraka watu wanamtazama tu, wanalalamika tu bila kuchukua hatua??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.