Recent content by maminzii

  1. maminzii

    JamiiForums Tanzania Huwa unafanyaje kurudisha uhusiano mzuri na baba yako, kipindi nguvu ya chuki inapokuwa kubwa zaidi?

    Mwisho wa story nzima bado familia ina mgogoro,tena kiini cha mgogoro ni Mzee,da! Pole Sana. Umeponzwa na yafuatayo; *Mahaba na familia *Huruma iliyopitiliza *Kutokuwa na misimamo binafsi *Heshima ya kike dhidi ya Mzazi ingali we ni mwanamme. *Kuzarau mambo na kuchukulia mambo simple simple...
  2. maminzii

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Hizo pesa za Benki Mkopaji nani? TADB watawalipa Wakulima Sawa, Benki inakuwa imemkopesha nani?

    Haka kakijana kajanja sana,hehe,, Eti "HAWA JAMAA INCHI IMEWASHINDA". Point ya sentensi nzima imebebwa na neno "HAWA JAMAA". Kijana master wako alikupika ukaiva,hehe.
  3. maminzii

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri. Mwijage na Tizeba nje, Waitara ndani

    Waziri husika alijisahau sana,ana ubest mwingi na kujuana kwingi,hata body language yake inajieleza hasa awapo karbu na mkulu,mazoea na kujuana ndo kitovu cha uzembe kazini,kamanda wa kikosi vitani ana wajibu wake kwa wanaozembea na kurudi nyuma wakati wa upambanaji,acha apumzike dhidi ya wizara...
  4. maminzii

    JamiiForums Tanzania Sakata la korosho::Tunaendelea kuwapa sababu wanaotuandika vibaya kuendelea kuandika kuwa mazingira ya uwekezaji si mazuri hapa nchini

    Kiukweli wengi wa wananchi tunapenda kudandia treni kwa mbele,yaani mtu hajafatilia maaongezi ya rais katika ukaguzi huo na maelekezo yake pia hata mkutano ama majadiliano ya wazi yaliyofanyika baina ya serikali na wafanyabiashara wakiwemo wakuu wa serikali Wazili mkuu na Rais mwenyewe,unakuta...
  5. maminzii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Malaya wengi huwa hawapendi Wateja wao ( Wanaume ) kuvua Suruali yote wakiwa Faragha?

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  6. maminzii

    JamiiForums Tanzania Manyonyo yaliyopo kwenye kifua cha mwanaume yana kazi gani?

    He he,nijibu kimtazamo;Ni hivi mwanaume kuwa na viziwa ni human nature according to human creation,mfano hata wanyama mbalimbali Kama mbwa dume pia nae anavyo viziwa Kama Kama vya mbwa jike ila ni vidogo,lakini pia mbuzi nae anavyo pembeni ya kengele zake harikasharika kwa punda na wanyama...
  7. maminzii

    JamiiForums Tanzania Aliyedai kuwa mtoto wa Lowassa aomba radhi kwa kumdhalilisha; asema tukio limechukuliwa kisiasa na sasa anakosa amani

    Muwe na akili,mfano dada Kama kapewa mlungula afu akatae Kama hakuna ukweli wa jambo alilodai ili iwe dhihaka na aibu kwa mkuu wa mkoa? Lakini huyu dada atakuwa hajielewi yaani uende ukamdanganye mkuu wa mkoa ambae ndo mwenyekiti wa usalama katika mkoa husika kwa ukubwa wa nafasi hiyo na...
  8. maminzii

    JamiiForums Tanzania Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

    Mitaani watu wazima wanasema kwamba watanzania tumelewa na amani tuliyonayo,kwamba wanaafrika mashariki na dunia nzima wanatushangaa kwa kinachoendelea kwa jina la MAANDAMANO. Lakini kwa upande wa vijana wengi wa umri wa miaka 18 mpaka 37 wanasema "lazima kieleweke bora tufe 500 lakini lazima...
  9. maminzii

    JamiiForums Tanzania Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

    Mwanamke ana asili ya kufunguka yale yanayomkereketa moyoni ili nafsi yake iwe huru,pia hulia ili kuiweka nafsi yake huru na maisha huendelea,tusimlaumu sana kwa kufunguka,daima usizuie hisia za mtu pale anapofunguka ya moyoni,labda asaidiwe tu kimawazo maana tayari ana watoto na teyari ndoa...
  10. maminzii

    JamiiForums Tanzania Clouds 360: TRA wamelipwa kodi zote magari 44 aliyokamata Waziri Mkuu kinachodaiwa ni storage ya TPA tu!

    Acha masihara PM ni mtu mkubwa na yuko makini hawezi bahatisha vitu mkuu,wapigaji wanna maneno matamu sana ya kujitetea.
  11. maminzii

    JamiiForums Tanzania Picha mbalimbali ndani ya club kampala,uganda mabebs wa ukweli,si za kukosa

    Bata batani.
  12. maminzii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu anachelewa kurudi nyumbani

    Mkuu ndoa yako iko katika hatua mbaya mno,katika hali ya kawaida tayari kuna mtu ameingilia ndoa,fanya ivi;Jiulize kama ni tabia yake toka awali ya kuwa mkaidi na kutokutoa majibu pale unapomuuliza kuhusu jambo ambalo unamashaka nalo,kama ni kawaida yake hapo umeoa sipo nikimaanisha Shem...
Back
Top Bottom