Kama ningeamua kumuanika ningeifanya mda sana ila sikutaka kukurupuka,
Huyu mtu ilibidi tuanze kumfuatilia taratibu kwa jinsi anavyojiweka na hadi vyombo vya usalama vimehusika, na huwezi jua na yeye amejipanga vipi kukabiliana na hili
Ila nnachojua mwisho wake utafika tu nimewaachia...
Vithibitisho nnavyo na vyenye uhakika
Ni ile sijui kibinadamu inafikia hatua unatumia tu busara kuacha, maana kwa hali yake uwezo wa kurejesha hana itakayoteseka ni familia yake
Mda mwingine naona bora ingekua hivyo ila aliniingiza kwenye matatizo makubwa but now nashukuru nimeyamaliza
Sema nimejikuta nimekua na roho mbaya sana hadi najishtukia mda mwingine
Hata wanaume wapo matapeli humu, kuna mmoja kwa style anayotumia nadhani kaliza wadada wengi sana.
Ni sheria tu za humu haziruhusu lkn natamani nimuweke wazi kwa utapeli anaofanya
Habari za jioni wandugu
Kama lengo kuu la huu uzi linavyojieleza ndicho moyo wangu unachokihitaji kwa dhati na I believe kupitia hapa naweza fanikisha
Mimi ni mwanamke nipo kwenye late 20s, mkristo na sio tegemezi
Dhumuni langu ni kumpata mwenzangu tutakaeanza maisha ya kuwa mke na mume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.