Recent content by mamii1

  1. M

    Mwanamke huyu mwanaume ndio wa kuwa nae kwenye ndoa kuepuka cheating

    Ujumbe mzuri huu kwa wanaume macho juu juu. Hivi inakuwaje unakuwa na lundo la rafiki 2000+ huko kwenye social networks? Huo muda wa kusocialize na hao wote upo wapi!
  2. M

    Housemaid ananipigia simu kuuliza nipo wapi!

    Si mchukue tu awe mkeo, inaonyesha anafeeling na wewe.
  3. M

    Mwanamke unapomwambia unampenda anakujibu "ahsante"

    Labda hiyo ahsante anamaanisha ahsante kwa kumpenda.
  4. M

    Kama kweli unanipenda tukapime UKIMWI

    Hivi dunia ya sasa kuna watu kweli wanaingia kwenye mahusiano pasipo kupima ukimwi!
  5. M

    Sifa za mwanamke makini hasa ndani ya ndoa

    Housegirl uko so smart, umeelezea ipasavyo.
  6. M

    Wanawake wa kisasa na tatizo la "Double standard"

    Unajua kususa kijana, una muda gani kwenye ndoa? Mna mtoto? Ndoa bhana!
  7. M

    Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way to your soul)

    Hii mada nzuri sana, kuna kitu nimejifunza.
  8. M

    Have you ever loved someone apart form your husband/wife?

    Hizo guns zinamuhusu mumeo, deal na mumeo maana yeye ndio mwenye makosa. Anajua ana mke na bado anatongoza nje. Always mumeo akiwa na mwanamke mwingine nje,ujue kuna sehemu umekosea. Ana kosa kitu ndani, ndio maana anatafuta nje.
  9. M

    Nina mtoto 1, nimepata mchumba ananipenda ila simpendi, nifanyaje?

    Unaona noma kumzidi mwaka 1, muulizie Zari kamzidi miaka mingapi Diamond na bado wapenzi na wamezaa. Ufupi sioni tatizo, mkiwa kitandani mtakuwa tu na kimo kimoja.
  10. M

    Wadada wengi mjini wana pesa, maisha mazuri, magari, wamesoma lakini hawaolewi

    Hawapendi kusumbuliwa na wanaume, ukiwa single raha sana.
  11. M

    Tusidanganyane wana CHADEMA, Slaa asingefikisha kura milioni sita

    Hakika Slaa hata milioni 3 asingefishika.
  12. M

    Rais John Magufuli akiwa na First Lady wa Tanzania Mama Janeth Magufuli katika ubora wao

    Rais Magufuli ajue kufunga zipu Yake sasa. Amuheshimu mkewe kwa kukubali kurudiana naye na kuishi naye ikulu japo alizaa na mdogo wa mkewe na bado alikuwa na mchepuko.
  13. M

    Mwanaume wangu na tabia ya kuperuzi kwenye mitandao ya kijamii

    Mfuatilie huyo mwanaume, atakuwa anachat na mwanamke. Ukiona mpenzi wako yupo busy sana na iternent ujue ana mchepuko online.
  14. M

    Msaada kuokoa hii ndoa

    Ajaribu viagra au cialis.
Back
Top Bottom