Recent content by mamchu

  1. M

    Waziri mkuu amwakilisha Rais Magufuli mkutano wa wakuu wa nchi

    usije atafuta shuka kumekucha kubalance mambo kunahitajika mno na too much is harmfull so Hekima ,Hekima,Hekima hii nchi hata apewe miaka 50 bado tu tutalalamika maana misingi yake ilikua mibovu so kinachofanyika ni kuziba viraka tusidanganyane.
  2. M

    Taarifa kwa vyombo vya habari kutoka CCM

    Hahahahaha kweli ukipenda hata chongo utaona kengeza,nisiseme sana maana......
  3. M

    Waraka wa Mbunge Elibariki Kingu kwa Wabunge CCM kuhusu fao la kujitoa

    Hilo ndo lilikua wazo langu kuhusu hawa miungu watu je miaka mitano wao ndo watapewa kisirisiri ama?
  4. M

    Waraka wa Mbunge Elibariki Kingu kwa Wabunge CCM kuhusu fao la kujitoa

    Sitaki kuamini huyu ni mtanzania mwenye roho ya ubinadamu au mnyama?Kweli mwenye shibe kwmwe hawezi mkumbuka mwenye njaa kha!!!!!nimeishiwa nguvu muuaji si lazima akushikie mtutu dah!!!!!
  5. M

    KUTOKA VIKINDU: Polisi wapambana na majambazi, askari mmoja adaiwa kuuawa

    hahahahahah dah kumbe kikulacho ...................................
  6. M

    Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

    hahaha huju unenalo kama ni kweli angepuuzia na kuacha watu wafanye yao sasa hekaheka za nini mtaani kama sio kupoteza muda?
  7. M

    Dr. Kipilimba atakuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa au Usalama wa Magufuli kisiasa?

    :):) namjua sana na yeye ni mmoja wa wasio na hekima ktk matamko yake anadhani anajenga kumbe anabomoa hawa ndo wachafua amani lakini nyani haonagi kundule siku zote........ananichefuaga kweli maana si kwa mahaba haya
  8. M

    Kitwanga aponda ndege mpya za ATCL mwanzo mwisho

    pye hata wakifanya bei ka ya nyaya sipandi bora nikomae na manyanyaso ya fastjet
  9. M

    UKUTA ni Mkakati wa CHADEMA kuizuia Serikali isifanye kazi yake

    I say gerarahiaaaaaaaaaaaa men !!!!Shit do u know what am saying?????????:D:D:D:D
  10. M

    Kishindo cha ATCL: FastJet kuuza ndege zake na kununua nyingine ili kukabiliana na ushindani wa soko

    mnavoongelea hivo vindege mtazani mmeshaanza kuzitumia si msubiri muone huo ushindani wake sasa .Safari zenyewe za local kelele ingekua international route si ingekua shida.Achagen masihari wakati wenzenu wako kistrategic.Si mpk hilo soko kwanza mlidominate ndo mjue si kelele za chura humu na vi...
  11. M

    Waziri Nchemba: UVCCM ole wenu muandamane tarehe 31 Agosti

    fumbo mfumbie ........................mwerevu atali ...........hivi nani aliota?
  12. M

    Dr. Kipilimba atakuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa au Usalama wa Magufuli kisiasa?

    kweli we ni chaumbea ukiambiwa uthibitishe kauli yako utasemaje maana inazua walakini wa 2020 unachochea uvunjifu wa amani kwa majibu yako kijana chunga sana ulimi wako na mahaba niue yako .
  13. M

    Mjane wa Erasto Msuya apandishwa Kizimbani Kisutu

    si basi jamani tunajua mnajua kiswahili kha!!!!!!!
  14. M

    Muonekano wa moja ya ndege mpya za Air Tanzania

    pye watanzania wanakula ndege?watakula dodoma?
  15. M

    Uko wapi Udikteta wa Rais Magufuli?

    Hahahaha pole yako
Back
Top Bottom