mohoziz joseph
Member
- Feb 26, 2013
- 30
- 47
Anaandika Comrade Ben-Rabiu Wa Saanane.
Nilifunzwa kusema ukweli,nikafunzwa kutilia shaka kila kitu.Doubting Everything. Leo Rais Magufuli amemteua Mkurugenzi Mkuu Mpya wa Usalama wa Taifa(TISS) Dr.Modestus Kipilimba. Kabla hajaapishwa baadae leo nafukua Makaburi mawili.
Haya tuanze, Mwaka jana kipindi cha Uchaguzi tulilalamika .Zipo tuhuma zilizopaswa kuwa cleared kwanza maana nafasi hii inahitaji Intergrity.Wengine tulitilia mashaka kustaafu kwa Rashid Othman muda huu hapo majuzi.Nanukuu yale ya Mwaka jana hapa.
"MKAKATI WA KUIBA KURA WANASWA
NEC YAHUSIHSHWA. MSIMAMIZI MKUU NI DR. MODESTUS KIPILIMBA
ALIKUWA MTUMISHI WA BOT, AKADAGANYA KACHUKUA LIKIZO KUMBE KAENDA NEC KWA KAZI MAALUM.
Niliposikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wamekubali matokeo kubandikwa ukutani kwenye vituo husika, niliwaza sana ni jinsi gani CCM inanusurika. Kwa bahati nzuri imegundulikwa kwamba mchezo wote utafanyika kwenye mfumo wa ujumlishaji wa matokeo "Tallying System".
Msimamizi mkuu wa hili zoezi ni Dr. Modestus Kipilimba ambaye katoka BOT (Bank of Tanzania) na kupelekwa ofisi za NEC kwa kile kinachoitwa kazi maalum....
* Dr. Modestus Kipilimba ni nani?..... (Tuanzie hapo)...
Dr. Kipilimba alikuwa mtumishi wa BOT Miaka kadhaa iliyopita. Baada ya BOT kuhusishwa na wizi wa mabilioni ya fedha katika taasisi hiyo taarifa zilitoka kuwa aliachishwa kazi kwa barua namba MFP/BOT/PF/24/03. Baada ya kufukuzwa kazi alikimbilia nje ya nchi (Uingereza) ambapo alienda kusoma zaidi.
Baada ya Prof. Ndulu kuwa gavana wa Bank, Ndugu Kapalimba haijulikani jinsi alivyorudi kazini. Ila ni wazi alipitia mlango wa nyuma, baada ya uongozi wa juu wa banki hiyo kupewa agizo la Dr. Kapalimba kurudishwa kazini. Dr. Kapalimba akaajiriwa tena kwa mara ya pili na kupewa cheo cha "Bank Advisor". Kwa muda mfupi akapandishwa cheo na kuwa mkurugenzi wa idara ya Risk Mgt(Maafa).
Mwezi uliopita Dr. Kapalimba kwa taarifa zilizopo BOT zinaonyesha Kapalimba kachukua likizo. Ila cha kushangaza huyo bwana yupo anafanya kazi NEC na kapewa idara nyeti ndani ya kurugenzi ya IT .Anaongoza kitengo cha TEHAMA Na pia ni yeye aliyepewa jukumu la kupokea na kusambaza makaratasi ya kupigia kura.
Dr. Kapalimba ni mtaalamu wa IT, aliyepeta elimu hiyo nje ya nchi na ni moja wa watu wanaosifika kwa utaalam huo. Idara nyingi za serikali imekuwa ikimtumia kwa operation mbalimbali...
NB:.. Baada ya hili kujulikana sasa tunaomba tume ya uchaguzi ikubali ombi la Kaimu katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika. La kutaka mfumo wa kujumuisha idadi za kura ukaguliwe mara moja na vyama vyoto wakiwemo CCM...
Kukagua mfumo husika ndio suluhu kwa sasa. Ila bila NEC kuruhusu hilo, bao la mkono litakuwa hapo...."
Mwisho wa Kunukuu habari hiyo.
Sasa Kabla Mwaka haujaisha Mhusika amepewa Ukurugenzi wa Usalama.Je hii ni Zawadi?
Je,atakua mkurugenzi wa Usalama wa Taifa au Usalama wa Magufuli kisiasa?
Je,Tunaweza kumuamini?
Anayo maadili yasiyotiliwa Shaka?
Oh Kabla sijasahau hivi ile Kampuni ya Infosys iliyomilikiwa na Charles Kitwanga iliyofanya kazi na Lugumi hivi Jina la Modestus Kipilimba si ndio hilihili?
Ni vyema tuhuma hizi na rekodi hii ingesafishwa kabla ya kupewa heshima kubwa kama hii.Tuhuma hizi sikuona kama ziliwahi kujibiwa popote .Ziliwahi kujibiwa?
Aluta Continua,Victory Ascerta....
Ben Saanane
Nilifunzwa kusema ukweli,nikafunzwa kutilia shaka kila kitu.Doubting Everything. Leo Rais Magufuli amemteua Mkurugenzi Mkuu Mpya wa Usalama wa Taifa(TISS) Dr.Modestus Kipilimba. Kabla hajaapishwa baadae leo nafukua Makaburi mawili.
Haya tuanze, Mwaka jana kipindi cha Uchaguzi tulilalamika .Zipo tuhuma zilizopaswa kuwa cleared kwanza maana nafasi hii inahitaji Intergrity.Wengine tulitilia mashaka kustaafu kwa Rashid Othman muda huu hapo majuzi.Nanukuu yale ya Mwaka jana hapa.
"MKAKATI WA KUIBA KURA WANASWA
NEC YAHUSIHSHWA. MSIMAMIZI MKUU NI DR. MODESTUS KIPILIMBA
ALIKUWA MTUMISHI WA BOT, AKADAGANYA KACHUKUA LIKIZO KUMBE KAENDA NEC KWA KAZI MAALUM.
Niliposikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wamekubali matokeo kubandikwa ukutani kwenye vituo husika, niliwaza sana ni jinsi gani CCM inanusurika. Kwa bahati nzuri imegundulikwa kwamba mchezo wote utafanyika kwenye mfumo wa ujumlishaji wa matokeo "Tallying System".
Msimamizi mkuu wa hili zoezi ni Dr. Modestus Kipilimba ambaye katoka BOT (Bank of Tanzania) na kupelekwa ofisi za NEC kwa kile kinachoitwa kazi maalum....
* Dr. Modestus Kipilimba ni nani?..... (Tuanzie hapo)...
Dr. Kipilimba alikuwa mtumishi wa BOT Miaka kadhaa iliyopita. Baada ya BOT kuhusishwa na wizi wa mabilioni ya fedha katika taasisi hiyo taarifa zilitoka kuwa aliachishwa kazi kwa barua namba MFP/BOT/PF/24/03. Baada ya kufukuzwa kazi alikimbilia nje ya nchi (Uingereza) ambapo alienda kusoma zaidi.
Baada ya Prof. Ndulu kuwa gavana wa Bank, Ndugu Kapalimba haijulikani jinsi alivyorudi kazini. Ila ni wazi alipitia mlango wa nyuma, baada ya uongozi wa juu wa banki hiyo kupewa agizo la Dr. Kapalimba kurudishwa kazini. Dr. Kapalimba akaajiriwa tena kwa mara ya pili na kupewa cheo cha "Bank Advisor". Kwa muda mfupi akapandishwa cheo na kuwa mkurugenzi wa idara ya Risk Mgt(Maafa).
Mwezi uliopita Dr. Kapalimba kwa taarifa zilizopo BOT zinaonyesha Kapalimba kachukua likizo. Ila cha kushangaza huyo bwana yupo anafanya kazi NEC na kapewa idara nyeti ndani ya kurugenzi ya IT .Anaongoza kitengo cha TEHAMA Na pia ni yeye aliyepewa jukumu la kupokea na kusambaza makaratasi ya kupigia kura.
Dr. Kapalimba ni mtaalamu wa IT, aliyepeta elimu hiyo nje ya nchi na ni moja wa watu wanaosifika kwa utaalam huo. Idara nyingi za serikali imekuwa ikimtumia kwa operation mbalimbali...
NB:.. Baada ya hili kujulikana sasa tunaomba tume ya uchaguzi ikubali ombi la Kaimu katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika. La kutaka mfumo wa kujumuisha idadi za kura ukaguliwe mara moja na vyama vyoto wakiwemo CCM...
Kukagua mfumo husika ndio suluhu kwa sasa. Ila bila NEC kuruhusu hilo, bao la mkono litakuwa hapo...."
Mwisho wa Kunukuu habari hiyo.
Sasa Kabla Mwaka haujaisha Mhusika amepewa Ukurugenzi wa Usalama.Je hii ni Zawadi?
Je,atakua mkurugenzi wa Usalama wa Taifa au Usalama wa Magufuli kisiasa?
Je,Tunaweza kumuamini?
Anayo maadili yasiyotiliwa Shaka?
Oh Kabla sijasahau hivi ile Kampuni ya Infosys iliyomilikiwa na Charles Kitwanga iliyofanya kazi na Lugumi hivi Jina la Modestus Kipilimba si ndio hilihili?
Ni vyema tuhuma hizi na rekodi hii ingesafishwa kabla ya kupewa heshima kubwa kama hii.Tuhuma hizi sikuona kama ziliwahi kujibiwa popote .Ziliwahi kujibiwa?
Aluta Continua,Victory Ascerta....
Ben Saanane