Recent content by Mambotele

  1. Mambotele

    PreGE2025 Ni vema majimbo ya Kawe, Arusha mjini na Mbeya mjini yagawanywe kutokana na Wingi wa Wananchi na Huduma za kiuchumi!

    Kwa logic yako, ni wazi kwamba majimbo mengi sana yatakua na huitaji huo kwa kugawanywa......mfano Nyamagana n.k Mm naamini majimbo mengi ya mijini hayastahili kugawanywa hata kama yana watu wengi sana, kwasababu mbunge wake ana urahisi wa kuwafikia na kuwahudumia wapiga kura wake kuliko majimbo...
  2. Mambotele

    Inawezekana CCM ina hofu kidogo kuhusu mkoa wa Mwanza?

    Huo ni ulongo...Samia alkua kusini ziarani mwaka jana.
  3. Mambotele

    Msimamizi uwanja Nyamagana atolewe mara moja

    Ndo alivyoagizwa na viongozi wa juu yake
  4. Mambotele

    Amchinja Mke wake mwenye ujauzito na kumpika mtoto wake

    Hivi mkoa wa Tabora upo kanda ipi??? Kanda ya ziwa? Au kanda ya kati? Au kanda ya Magharibi?
  5. Mambotele

    GE2020 Itakuwaje kama Lissu akashinda Urais bila kupata Wabunge wa kutosha?

    Pls Chadema activists stop dreaming.
  6. Mambotele

    Wakosoaji wa Serikali wanatumwa?

    Kukosoana ni muhimu. Ikiwa Mungu amewaumba wanadamu lkn wanadiriki kumkosoa na hata kumtukana yeye na uumbaji wake na amekaa kimya sembuse serikali.
  7. Mambotele

    Kimenuka: Kamati ya maadili ya TFF yakutana kumjadili Makamu wa Rais Michael Wambura

    Karibu shutuma zote za makosa ya kifedha zinazolikabili soka la Tanzania, zaidi ya asilimia 90 huwahusu viongozi wenye uhusiano wa moja kwa moja na timu ya SIMBA S.C. Mfano. Rage, aveva na wenzake, hajimanara, Wambura, n.k
Back
Top Bottom