Recent content by mambeza

  1. M

    Kweli pesa tamu, Gazeti la Raia Mwema siamini kama mmeiacha njia Kuu, mnasikitisha sana

    Mtanzania mbona hulisemi. Kila siku ni lowasa front page
  2. M

    Makundi ya Vijana wanaomuunga mkono Lowassa watangaza kuhamia UKAWA

    wachummia tumbo hao, ni wapi imeandikwa lowasa lazima awe rais wa tano. Mazafantaz hao waliahidiwa neema
  3. M

    Lowassa: Sikuhitajika na Wakubwa!

    Haikuandikwa sehemu kuwa atakuwa Rais wa Tanzania, wala hatuhitaji Rais wa ndoto
  4. M

    WanaCCM, maelfu kila Wilaya, Mkoa, wajumbe kadhaa wa NEC kuhamia CHADEMA

    Kama chama hakina utaratibu wa kuandaaa viongozi, ni rahisi kwa chama hicho kupokea hata mizoga na mapompopopooooo
  5. M

    GE2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

    Cdm walimuorodhesha kwenye list of shame (mafisadi) Leo awe mgombea wao. Kwa hiyo mgombea wa ukawa awe fisadi
  6. M

    Kingunge: Mchakato wa kumpata Mgombea Urais CCM ulikuwa batili! Lowassa si fisadi kama inavyodhaniwa

    Kapumzike mzeee, cjui umekula maharage ya wapi wew, nenda mzeee
  7. M

    Watangazaji wa CLOUDS FM ndio watangazaji wanaolipwa zaidi kuliko wengine wowote wa Tanzania

    Mengi analipa watanzania wenzake kidogo , na anawalipa wahindi ambao hawana ujunz alionao mtanzania mshahara mkubwa kweli. Kila kitengo cha fedha katika kampuni ya IPP Ni muhindi.
  8. M

    University of Dar es Salaaam: Mtambo wa kuzalisha wahujumu uchumi na mafisadi Tanzania

    Ufisad Ni tabia ya MTU aliyonayo pindi anapopata nafasi. Haihusiani na taaluma au chuo alipopata taluma husika.
  9. M

    Salum Mwalimu amsimamisha kazi Kiongozi CHADEMA

    Hivi anamamlaka ya kusimamisha viongozi Wa huku bara. Nauliza?
  10. M

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    Kama mengi anabusara waulize wafanyakazi Wa IPP.nyambafuuuu
  11. M

    Connect dots hapa kuhusu Jaji Mujulizi na Kikwete

    Mijitu mingine haifikirii wala kujiuliza kabla ya kupost. Inapost tu. Nyambaaaaafuuuuuu@salary slip
  12. M

    Ushauri wa wazi kwa J. J. Mnyika (Mb)

    Petro uongozi na kiongozi mtendaji hahitajiki kuwa na elimu kubwa kama unavyofikiria. Wapo wanye elimu kubwa na Ni viazi vibovu tu.!!!!!! Kikubwa awe mwadilifu kwa taifa na asimamie maslah ya wananchi. Umeshauri kwa vigezo VP Petro?????? Mana hapa umeonesha uwezo mdogo......!!!!
  13. M

    Dr. Omar Nundu (mbunge) awasha moto Tanga

    Hilo ambalo halijashikwa na ccm halafu tajiri ni lipiii????
  14. M

    Mnada wa hadhara ubalozi wa Marekani

    Unafanyika wapi huo mnada
  15. M

    AG Werema alishastaafu utumishi wa umma kwa mujibu wa sheria

    Nnimekuuliza kanuni za utumishi katika nafasi za uteule kama AG katika kustaafu zinasemaje .......???? Wewe kama mwanasheriaa......????!!!!!! Halafu unakimbilia ufaulu.....????? Najua profesa mbunda sio mwajiri......iii ila ukweli unaujua kuhusu Yeye na Hapo ulipo. Nijibu hio ishu ya kwanza...
Back
Top Bottom