Recent content by mambaone

  1. M

    Ajali za barabarani

    Kuku wa kienyeji , siamini Kama lawama ndio inajenga , nimetumia neno badilisha , lakini akili zilivyodumaa kwa lawama ndio maana hatuendelei , na akili yako ni Kama ya Kuku maana umeshindwa kusoma
  2. M

    Ajali za barabarani

    Je ni busara kuendeleza uzembe unaosababisha vifo vya raia ; miundombinu duni , Madereva wasio na elimu wala uzoefu , Magari mabovu ; je nani abebe Mzigo wa kubadilisha
  3. M

    Kwaheri Rais Kikwete, tutakukumbuka Watanzania

    Kikwete ni Kiongozi wa mfano Africa amekubalika kama hamupendi Hilo basi imekula kwenu
  4. M

    Ndege za Israel zaanza kuponda maeneo ya Hamas kule Gaza

    Hawa israel , kiboko Yao alikua sadam sasa wangojee mwengine kule Libya , itemi gani unapigana na watoto nA wanawake , cowards Hawa na ndio maana mr Adolf aliwajua mapema , very bad people
  5. M

    I am thinking about cheating on him

    If you lay with another man whilst having a husband then you are not worth it and you don't deserve to be a priority , very cheap indeed , corrupted mind by copulation
  6. M

    Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

    Uti hahusiani kabisa na harufu mbaya , hiyo harufu ilitokana na gum disease ambayo incause fizi kublead kwa hiyo ile damu ikikauka inatioa harufu mbaya na amepona mtoto probably ya zile antibiotic , be careful some drs get careless
  7. M

    Kikwete: Nakusudia kurejea darasani kufundisha

    Good retirement plan
  8. M

    Dick Cheney : Obama is a very very weak President

    HAhahahahaha I can't stop laughing
  9. M

    Dick Cheney : Obama is a very very weak President

    Umeishia la Saba bila Shaka brother
  10. M

    Angalia dharau hii ya wazungu kwa trafiki wetu

    Napenda kuwapongeza traffic police wetu , kwa Kweli bila wao jiji haliendi , kazi ngumu saana
  11. M

    CHADEMA ianze kuhutubia taifa kila mwezi kuhusu Chama

    Chandema wamefanya nini mpaka sasa hivi ?
  12. M

    CHADEMA ianze kuhutubia taifa kila mwezi kuhusu Chama

    That is just a sentence and has no substance , please verify and you don't even know what you want anymore , tell me what Hawa majajambazi wakitoka wewe utawaleta malaika kutoka wapi ?
Back
Top Bottom