nakuelewa sana ila sina mizigo wala sitamfuti mtu wa kunisaidia kwa hapa nilipofika natafuta mtu tupendani tuzeeke wote basi. Ukiwaza positive utaelewa nachomaanisha. ndio maana sikukurupuka wakati ule nikiwa na umri mdogo 20's nikaamua kulea na kuwapa elimu sasa kama unavyojua na wao wataondoka...
Samahani kama nimewakwaza humu ila lengo langu sio baya, sitaki mume wa mtu, sitaki kijana umri 30-40 hapana at least kuanzia 41-55 awe na yeye ana uhitaji kama wangu. Jamani watoto wamekuwa nahitaji mtu wa kuzeeka nae sasa wewe baba ambae unakimbizana na watoto wa 2000 upate presha ya bure acha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.