Haya mambo ni magumu pa de zote
Labda niulize, ni vipi endapo mwanamke mfanyakazi anamiliki nyumba yake na baadae akaoana na jamaa wakaishi hadi mwanamke kastaafu na katika mafao yake akaongeza nyumba nyingine
Huyu njemba anahusika?
Kama kuna ukweli vileeee!!!
Lakini wanaopelekwa english medium schools wameshaandaliwa na nafasi zao
Na kama unampeleka kufuata mkumbo hapo sasa ni wewe na hela zako
Haoana si mwizi maana nikifuata taratibu
Na kama mmiliki angekuwepo angekuwa ameshakuja huu ni mwaka wa 21 sasa
Hata kamq nisingekipata mimi angepewa mtu mwingime baada ya wa kwanza kushindwa kukiendeleza
Kwa nyumba sijui ipoje ila kwa kiwanja afadhali
Mi nilijipatia kiwanja kwa namna hiyo
Kilikuwa ubavuni kwangu na mwenyewe hakuwahi kuonekana
Nikaenda ardhi nikawaeleza wakaniambia kasafishe kwanza ukiona kimya weka msingi tulia
Nilifanya hivyo na hakutokea mtu lakini palikuwa ma tofali 12 pale...
Nina mmoja tu
Mungu ampe riziki pana ili anistiri
Zaidi ya hapo mimi ndio kimbilio la wengi ingawaje nami sio kwamba nina nafasi kuuubwa ila ni mwepesi wa kubeba ya wengine
Mimi nilishindwa kushuhudia mama anateseka namna hiyo tena kwa mwanamke tu ambae si wa kuolewa
Mwanamke alikuwa analetwa hadi nyumbani
Mama akatengwa chumba kingine
Kila mmoja anapika sehemu yake
Kwa kweli nilishindwa nikawa namchukua mama mara kwa mara kumpumzisha na zile adha
Mwishowe baba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.