Me baada ya kusikia hiyo habar nilipunguza kuacha kabisa nimeshindwa navipenda sanaah ... Miaka 7 mfululizo sikua na flat shoe hata moja ila siku hizi high heels navaa nikiwa na gari tu
Umesema vyema kisima ni heri kuwa wachache wenye malengo sawa kuliko kutaka idadi kubwa mje kuvurugana badae.. Na mtaji wa kuanza si lazima muwe na mahela yote hayo inawezekana kuanza kama wakulima kawaida mkikua mnasajili kampuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.