Recent content by Mamamercy

  1. M

    Huyu ndiye Mwigulu Nchemba

    Wewe ndie unamkubali usijumuishe na wenzio kisa umepewa kitu upige debe... Eti mwigulu nae awe rais ptuuu!
  2. M

    Unafahamu kuwa ‘high heels’ inaweza kuongeza mvuto wako

    Me baada ya kusikia hiyo habar nilipunguza kuacha kabisa nimeshindwa navipenda sanaah ... Miaka 7 mfululizo sikua na flat shoe hata moja ila siku hizi high heels navaa nikiwa na gari tu
  3. M

    Riwaya: Bondia

    Inaendelea lini sasa? Najua nitaipenda huyu Tuwa ni mtunzi mzuri
  4. M

    Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

    Hujakutana na wanawake wembamba wewe Fidel80 huyo itakua kakondea shida mvuto atautoa wap lakin wenye wembamba na urembo wetu plus kujua thaman yetu hatuna habarii!! Huchok kutuangalia
  5. M

    Nina millioni 80 nataka ushauri wa biashara

    Malila unaweza kunielekeza kwa uzuri kuhusu hicho kilimo cha miti
  6. M

    Aisee Ushuhuda wa macho unauma sana jamani!

    Sounds like goes around comes around... Ulidhan umepata kumbe!...
  7. M

    Naombeni ushauri, mahusiano yangu yanatawaliwa na ugomvi na matusi

    Mamaafacebook hapo si pa kukaa mtu akutukanie hadi makaburi ya kwenu unamng'ang'ania wa nini? Mwanaume gani hana heshima??
  8. M

    Women with higher IQ's...

    Nimecheka SANAH
  9. M

    Mtaji wa pamoja kwenye mradi wa kilimo- (joint capital)

    Umesema vyema kisima ni heri kuwa wachache wenye malengo sawa kuliko kutaka idadi kubwa mje kuvurugana badae.. Na mtaji wa kuanza si lazima muwe na mahela yote hayo inawezekana kuanza kama wakulima kawaida mkikua mnasajili kampuni
Back
Top Bottom