Hv mtoa post umekurupuka toka choon eeeh huyo kat ni make kweli wa marehem wa pemben ni mtoto wake saraphina komba we unasema et mke wa pil mwehu kweli
Uyu atasifiwa na watu ambao hawakusoma udom ila tulosoma pale namuomea huruma tu maana siasa imemtawala kuliko kitu chochote na hawazii future take nje ya siasa, ni mtu mpuuz sana.
Kuna vle vjui vyake vdogo kuna moja imechorwa ndiz,strawberry na vinini sijui jaman ukisoma kwenye maelezo vtu vlivyotumika kutengeneza amna hata kimoja cha kwenye picha. Watanzania tupende kusoma maelezo kabla ya kula kitu afya ni muhmu aisee
Uyo bakharesa hana hata ranchi ya ng'ombe kama tanga fresh do u think hayo maziwa fresh atapata wap pale ni kachukua maziwa ya unga yamekorogwa kajaza mle ukitaka kuamin nunua maziwa yale makubwa usiyachukuche geuza chin juu afu kata lile boksi utakuta maziwa kibao yameganda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.