Wanajamvini msinishangae mie kila siku wa kuomba ushauri .
Nina rafiki yangu mmoja kweli anatia huruma, kaolewa mwaka wa tano hapati mtoto katembea sana mahospitalini ila nashukuru Mungu sasa kapata dokta mzuri anaendelea nae kimatibabu.
Binasfi hajawahi shika mimba tangu azaliwe na wala...
Habari zenu humu ndani kwa wale wanaojua wafundaji wazuri wa kufunda mtoto wa kike tafadhali achieni namba zao humu ndani ila mfundaji huyo awe tayari kusafiri kuletwa mkoa wa ajili ya shughuli hiyo.
Mrs leo walipokuwa marafiki alimpaga huyo dada password awe anamsaidia kuchukua hela in case maana mkaka kazi zake ni za field na anaweza chukua mwezi hayuko mjini kilichotokea hapo siku ameenda kuiba inaonekana alipeleleza akajua hayupo na kadi za benki za huyo kaka zilikuwa ndani hakusafiri...
Habarini wanajamvini.
Mimi nina mpenzi wangu ambae naweza sema tunapendana sana sasa kabla hajawa na mie aliwahi kuwa na mpenzi wake yaani gf kwa maana hiyo baada ya kuachana na yule ndipo alipokuja kwangu na bahati mbayamimi sikuwahi kumjua huyo dada nilikuja mjua baada ya yeye kuanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.